LGE2024 Rais mstaafu, mzee Kikwete naye ajitokeze kutoa maoni yake kuhusu ushindi wa ccm wa 99% ktk uchaguzi wa S/MITAA 2024

LGE2024 Rais mstaafu, mzee Kikwete naye ajitokeze kutoa maoni yake kuhusu ushindi wa ccm wa 99% ktk uchaguzi wa S/MITAA 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Tumemsikia waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Sinde Warioba, hakufurahishwa na mazonge yaliyofanywa na ccm ktk uchaguzi wa S/MITAA. Na akenda mbali zaidi aklaani tabia ya ccm kutumia vyombo vya dola ktk chaguzi.

Tumemsikia spika mstaafu mzee Pius Msekwa hakufurahishwa na ushindi wa 99% ambao ccm imeupata huku kukiwa na malalamiko lukuki nchini kote.

Wananchi sasa tunasubiri kwa hamu kubwa kuyasikia maoni ya rais pekee mstaafu mzee Jakaya Mrisho Kikwete. Anasemaje kuhusu uchaguzi wa S/MITAA 2024?

Na ikimpendeza atoe ushauri juu ya mwelekeo mwema wa chaguzi zijazo.
 
Mzee wetu wa pale Msoga hataki stress
Alitumikia akamaliza mwache apumzike
 
Inawezekana hataki kutoa maoni kwahiyo usisubiri maoni yake
 
Tumemsikia waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Sinde Warioba, hakufurahishwa na mazonge yaliyofanywa na ccm ktk uchaguzi wa S/MITAA. Na akenda mbali zaidi aklaani tabia ya ccm kutumia vyombo vya dola ktk chaguzi.

Tumemsikia spika mstaafu mzee Pius Msekwa hakufurahishwa na ushindi wa 99% ambao ccm imeupata huku kukiwa na malalamiko lukuki nchini kote.

Wananchi sasa tunasubiri kwa hamu kubwa kuyasikia maoni ya rais pekee mstaafu mzee Jakaya Mrisho Kikwete. Anasemaje kuhusu uchaguzi wa S/MITAA 2024?

Na ikimpendeza atoe ushauri juu ya mwelekeo mwema wa chaguzi zijazo.
Ngoja tuone maana yeye, Mke na Mtoto wanakula kwa urefu kamba zao. Tuone mfuasi wa za kuambiwa...... atasema je kuhusu uchaguzi uliopita.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ccm ya sasa ,kuna sauti za Mungu zapitia wanadamu ila mmebaki na kejeli ,ndani siku 67 mtashangaa asema Bwana
 
Back
Top Bottom