Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akadiria hasara ya Tsh bilioni 1.2

Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akadiria hasara ya Tsh bilioni 1.2

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Familia ya Kenyatta inakadiria hasara ya bilioni 1.2 pesa za Tanzania (sawa na milioni 70 za Kenya) kufuatia uvamizi wa shamba lake na watu wasiojulikana hapo Jana.

Wavamizi waliiba kondoo zaidi ya 1,400 aina ya Dorper mchana peupe, ambapo kondoo mmoja aina ya Dorper huuzwa kwa takriban tsh 800,000 nchini Kenya.

Kondoo hao wenye asili ya Afrika Kusini, hukua kwa haraka hata katika maeneo kame, na wanafaa zaidi kwa nyama yao ambayo ina sifa ya kuwa nyororo.

Kwa sasa shamba hilo lililoko eneo la Ruiru barabara ya kwenda Thika lipo chini ya ulinzi mkali wa maafisa wa polisi.
20230327_145604.jpg
 
Watu wanalijichukulia mifugo kwaajili ya kula na maziwa...
 
Dah! Gachuaga ni mnoma, angekuwa bongo asingechukua round.
 
Kenyatta na Raila waache janja janja wao ndio waliplan kuchoma kiwanda cha raila na kuvamia shamba ili jumba bovu wamtupie ruto na vp wake na walifanya hivo ili kukuza mgogoro zaidi bahati nzuri wakenya wamestukia mchezo
 
Back
Top Bottom