Rais Mteule Barack H. Obama!

Mkjj kumfananisha Obama na JK sijui ulifikiria kwa hoja zipi.

JK kama angekua na shahada kama za Obama na akaambiwa akafanye wall street ingekua ni mara moja tu JK angekwenda wall street.

Kinyume na hapo Obama aliacha hizo post nzuri nakwenda kufanya kazi ya kujitolea Chicago.
Niambie ni lini JK aliacha kazi zinazoleta mapesa au kuacha deals za ufisadi akaenda kufanya kazi za kujitolea.
 

unajua ni kiasi gani cha mafuta kinatumika China na India kwa siku na ni ongezeko la kiasi gani katika miaka nane iliyopita? Unajua nchi za kiafrika na sehemu nyingine ambazo uchumi wao unakuwa zinachukua mafuta kiasi gani kwa siku? Unaweza kuelezea ni ongezeko gani la mafuta toka Angola, Venezuela, Urusi na Niger na Nigeria limetokea katika miaka hii nane iliyopita? Unataka kusema kuwa hakukuwa na ongezeko la uzalishaji mafuta duniani to offset consumption ya Marekani Iraq?
 

sasa ukitafuta kulinganisha watu wawili hadi vitanda vyao na wapi walikula then unachotafuta ni carbon copy ya mtu; haipo.
 
Wabongo siku hizi kweli mnakosa time na kupoteza mda bure,sasa mkishangilia uchaguzi wa obama kwanza mnafanikiwa nini zaidi???Hou mda kwa nini usiende kariakoo ukaangali kitu cha maana cha kufanya???Jamani sasa hivi watu wanacheza na time sio days tena.Kwa hiyo tujaribu kuwa serious kwa kila dunia ya sasa inakwenda vibaya
 

BBC walionyesha kwenye Web site yao wakati huo China nao walikuwa hawamuungi mkono lakni bado kibao kikageuka China na sasa ana support kubwa sana. Hata Hillary angekuwa ndiye mgombea wa Democrats bado Watanzania wengi tungemuunga mkono na hali kadhalika sehemu kubwa ya dunia kama siyo dunia yote. Nitatafuta niangalie kama kibao kimegeuka huko Israel kuhusiana support ya Obama. Info zote ziko kwenye mtandao ukizitafuta utazipata hakuna haja ya kwenda kwa Sheikh Yahya ili akufanyie utabiri ni nchi gani duniani inamsupport Obama.

Weusi wengi Marekani pia walikuwa kwa Hillary kwa sababu hakuna aliyetegemea Obama kuwa hapa alipo leo hii. Hata pundits walidai kwamba primaries kwa democrats ni formalities tu kwani hakuna ambaye angeweza kushindana na excellent organisation ya akina Clintons na pia uwezo wao mkubwa wa kuchangisha pesa na pia ukitilia maanani wakti huo opinion polls zilikuwa zinaonyesha Obama akiwa nyuma ya Hillary kwa point 25. Kibao kilipoanza kugeuka African Americans wengi wakaanza kuikimbia kambi ya Hillary na support kubwa aliyokuwa nayo Obama kwa wazungu ikamfikisha hapa alipo leo hii.
 

mazee hebu cheki hizo data zako again. hii prophesy ya kuwa someday a blackman will come to rule united states ilisemwa na robert kennedy sio martin luther.
 
Obama siyo mwafrika ila ni nani?

(a) mmarekani mweusi mwenye asili ya afrika
(b) mzungu
(c) mwafrika wa marakeni

lipi jibu sahihi hapo?

Jibu ni A. he is an afrikan amerikan and not white or half-cast (chotara). marekani mtu akliwa na 1/8 ya black blood basi he is classified as black negroid. and if this was in the 60s he could be classified as a "nigga" or "negro". lastly, therz nothing like "amerikan afrikan" (mwafrika wa marekani)
 

we waache watu hawakawii kumwaga pilau zao za kusheherekea. has history taught people anything!!!!!!!!!!!
 

Social classification doesn't deny scientific accuracy. It is scientifically innacurate to call someone who is mixed, black.
 
sasa ukitafuta kulinganisha watu wawili hadi vitanda vyao na wapi walikula then unachotafuta ni carbon copy ya mtu; haipo.
Basi turudi kwenye post yako


Halafu unajijua kwamba uko kama kinyonga?

Mwaka 2005 ulikua wewe pia ndio mpiga debe mkubwa wa JK kule DHB. picha za mikutano yake nk

Mkjj bado hatujafa bado tupo hapa hapa tunakuona na kigeugeu chako.
 
Basi turudi kwenye post yako



Halafu unajijua kwamba uko kama kinyonga?

Mwaka 2005 ulikua wewe pia ndio mpiga debe mkubwa wa JK kule DHB. picha za mikutano yake nk

Mkjj bado hatujafa bado tupo hapa hapa tunakuona na kigeugeu chako.

Ouuch....wewe kweli mchokozi......
 
Basi turudi kwenye post yako



Halafu unajijua kwamba uko kama kinyonga?

Mwaka 2005 ulikua wewe pia ndio mpiga debe mkubwa wa JK kule DHB. picha za mikutano yake nk

Mkjj bado hatujafa bado tupo hapa hapa tunakuona na kigeugeu chako.

well.. ad hominem..
 
Obama is an American full stop na hili hakuna la sisi Waafrika kujivuna kwamba ni mwafrika wala nini .Trust me weusi wa US baada ya Uchaguzi na miaka 4 uijayo watakula kisago sana kama ilivyo sasa Tanganyika moto wake baada ya JK .Mimi yangu macho na naweka nguvu zaidi katika siasa za hapa nyumbani .
 
Nitatafuta niangalie kama kibao kimegeuka huko Israel kuhusiana support ya Obama. Info zote ziko kwenye mtandao ukizitafuta utazipata hakuna haja ya kwenda kwa Sheikh Yahya ili akufanyie utabiri ni nchi gani duniani inamsupport Obama.


Israel votes till now 739 Barack Obama 64.7%


John Mc Cain 35.3%
 

Of course nchi za OPEC ziliongeza uzalishaji ili kutake advantage ya bei kubwa ya mafuta. Marekani ndiyo nchi inayotumia mafuta kwa wingi kuliko nchi nyingine duniani. Katika kipindi cha Money Matters cha CNN ambacho kina watangazaji mbali mbali akiwemo Ali Velshi kinachoonyeshwa kila jumamosi 1.00pm ET na kurudiwa 3.00pm ET j'pili. Huyo Ali Velshi alitamka kwamba data za US katika matumizi ya mafuta zilionyesha kwamba kama jeshi la marekani lingetengwa kama nchi basi consumption yake ya mafuta kwa siku ilikuwa ni kubwa kuliko nchi ya Marekani. Sasa huwezi kutegemea ongezeko kubwa la matumizi ya mafuta ya jeshi la Marekani yasiongeze bei ya mafuta katika soko la dunia.
 
Social classification doesn't deny scientific accuracy. It is scientifically innacurate to call someone who is mixed, black.

well u can call it scientifically innaccurate but in ameriKKKa a "ONE DROP RULE" is always applied on classification of people. the rule says that "a person with any trace of African ancestry is considered black unless having an alternative non-white ancestry which he or she can claim, such as Native American, Asian, Arab, or Australian aboriginal". this rule is also applied in several south amerikan countries too. marekani hamna cha chotara wala nini.
 


meaning Africans' genes are dominant over those from other races?
 

Nimeshangazwa na tabia hii ya Waafrika wengi .Sijamsikia akiitaja Afika katika kampeni zake kabisa kabisa bali America American sasa watu wanacho komaa nacho ni kitu gani ? JK ndani ya USA wacha mtaona .
 
Kweli tunaweza kumpongeza Bush kwa mengi aliyoifanyia Tanzania na Afrika.Lakini je mengi hayo hayana ajenda nyingine zaidi ya UPENDO WA BUSH kwa Afrika?Na kama ni upendo,why uwe katika dakika za mwisho za urais wake?Au ndio kuua soo la kuwa unpopular home lakini shujaa nje ya nchi?Hivi si kweli kwamba charity begins at home?Twende mbali kidogo.Hivi Bush angetupenda kweli Watanzania asingemkomalia JK kuhusu ufisadi?Hizo fedha za Milenia zitawanufaisha walengwa au mafisadi?
Tukiwauliza mashabiki wa Obama wa Tanzania kwamba ni kitu gani ambacho Bush amekifanya kwa Tanzania ambacho kinawafanya wamchukie Bush na wampende Obama?
Na tukiwauliza mashabiki haohao wa Tanzania kitu gani MCCAIN amewafanyia ili wampende yeye badala ya Obama watasemaje?By the way,how come kumpenda Obama kutafsiriwe kuwa ni kumchukia Bush?
Hivi kwa upeo wako kuhusu JK ulitegemea jibu gani la busara kutoka kwake?Na hata angekuwa na upeo wa hali ya juu,would you expect him to disappoint Bush kwa kusema Watanzania wangependa Obama ashinde?

Je tumejiuliza MCCAIN ana sera gani kuhusu Afrika?Angalau tunaweza kupata excuse ya JINI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKWISHA kwa Obama.Mara ya mwisho kwa Mccain kuja Afrika ni lini (kama ameshawahi kuja)? Again,unakosea ku-equate ushabiki kwa Obama na chuki dhidi ya Bush.Sijui hiyo connection inatoka wapi!
Nadhani na mapema mno kudai kwamba "sioni dalili yoyote ya Obama kuwa zaidi ya Bush kwa Afrika" kabla hata Obama hajashinda uchaguzi huo.Did you happen to know kwamba Bush angeipenda Afrika kabla hajaingia Ikulu?
Je kuna uthibitisho wowote kwamba Obama akishinda watalii kutoka Marekani watapungua?Na tunaweza kwenda mbali zaidi kwa kujiuliza ujio huo wa watalii kutoka Marekani unamnufaishaje mwananchi wa kawaida huko nyumbani.


Ni kweli misaada kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla inaweza kupungua,na hiyo si kwa Obama pekee bali hata Mccain,au hata Bush angeendelea na urais.Sababu ni matatizo ya kiuchumi yanayoikabili Marekani.Lakini kinachonitatiza hapa ni huo UHAKIKA kuwa Obama hawezi kumpiku Bush.Any empirical (TESTED) evidence on that?Kwaninu tusisubiri daily press releases a year from now kabla ya kufanya conclusions hizo sasa?
Mbona hatukuyaona hayo kwa Collin Powel au Condoleeza Rice? Ahaa,kumbe inawezekana hata Watanzania wanavutiwa na uliberali wake zaidi kuliko RANGI yake!

Marekani,kama Taifa lolote lile, ina haki ya kujilinda.Hata hivyo kama kujilinda huko kutamaanisha kuzalisha maadui zaidi kuliko marafiki nadhani wewe na mimi tunajua mwisho wake ni nini.Nadhani sera za Obama kuhusu Irak na Afgahnistan ziko wazi.Bush na neocons wenzie walifanya kosa kubwa sana kukimbilia Irak wakati adui yao mkubwa-Osama-yuko hai kwenye mapango ya Afghanistan.
Matarajio ya wengi ni kwamba priorities za usalama wa Marekani ziendane na hali halisi.Na hapa tunaweza kugusia tena point yako ya UPENDO wa Bush KWA AFRIKA.Kama ambavyo umeeleza,SENTIMENTS za Wamarekani ndio zinazomsukuma Rais kufanya hili au lile,and for that matter inaelekea hata Bush alifanya aliyofanya kutokana na SENTIMENTS hizo.
Back to foreign policy,Obama has made it clear kwamba hatasita kuivamia Pakistan iwapo itathibitika Osama kajificha huko na Pakistan haitoi ushirikiano wa kutosha.Sasa sijui hao wanaodaiwa kudhani kwamba Obama atamaliza vita ya Afghanistan ni akina nani kwani inajulikana kabisa kwanini vita hiyo ilianzishwa in the first place.Na Obama ameeleza bayana intention yake ya kuondoa majeshi ya Marekani huko Irak (na kuongeza nguvu zaidi Afghanistan) kwa vile huko ndiko chanzo za 9/11.


Yawekana kabisa kwamba ushabiki wa Watanzania,na kwingineko duniani nako kunatokana na uchaguzi huu kuwa wa kihistoria.Na katika hilo,inawezekana kabisa kwamba wale Wajerumani waliojazana siku ile kumshangilia Obama walikuwa wakishuhudia history in the making and not kushangaa mtu mweusi asiye steriotypical!


Mwanakijiji,hivi Wamarekani lukuki,regardless ya rangi zao,wanaomsapoti Obama ni wapumbavu kiasi hicho cha kumhukumu mtu kwa association yake pekee na sio uwezo wake?Mbona hata mume wa Sarah Palin alikuwa supporter wa successionist party huko Alaska?Kwanini hawakumwambia a-drop?

Na hivi better case ya racism ni kumsapoti mtu mweusi au kumsapoti mtu mweupe?Hizo cases za akina Rev Wright si zingeweza kabisa kutumiwa na racists kama excuse yao dhidi ya Obama,badala ya kumsapoti?

Na kwanini unadhani Democrats walimpuuza Hillary na kumchagua Obama?Weusi wa Obama au Weupe wa Hillary?
Unaweza kuwa sahihi kama ambavyo yule anayeamini kuwa Obama ni wakala wa mabadiliko.Sitaki kabisa kuamini kwamba Wamarekani (hasa weupe) ni wapumbavu kiasi hicho cha kudanganywa na mtu mmoja mweusi kwa maneno yake matamu tu ya kuwaahidi mbingu hapa duniani.Na mie nisiyeamini hivyo niko nje ya Marekani.
Kumbe basi inawezekana kabisa furaha na ushabiki wa Watanzania ni sehemu ya furaha na ushabiki wa weusi wengi kuona angalau kumbukumbu za unyama dhidi ya weusi zinaanza kufutika taratibu.
Hivi Obama AMEPEWA NAFASI HIYO au AMESHINDA KWENYE KINYANG'ANYIRO KILICHOJUMUISHA WAGOMBEA WENZIE KADHAA (WEUPE)?

Na hakuna kitu kingine kinachompa ujiko huo kama siku hii ya leo ambapo Bibi yake (mtu mweupe) amefariki dunia on the eve of such an historic moment. Tukumbuke kuwa nao weupe wanamclaim Obama kuwa ni wa kwao, and rightly so, kwa sababu ya rangi yake.
Naamini hii ingekuwa na uzito zaidi laiti kifo cha bibi yake kingetokea siku Obama alipombwaga Hillary kupata nomination ndani ya Democrat party.Na kama multi-ethnicity ya Obama ndio kigezo,then kwanini WEUPE WOTE WASINGE-RALY BEHIND MCCAIN?

Bottom line is,Wamarekani wamechoshwa na failed policies za Republicans zilizoathiriwa zaidi na failed presidency ya Bush.Naamini kwamba laiti Obama angekuwa mgombea mweupe kutoka Democrats basi uchaguzi ungeshamalizika mapema.Dems wana kila sababu ya kufanya vizuri katika uchaguzi huu kwa vile Republicans wame-mess up big time.
 
meaning Africans' genes are dominant over those from other races?

Yap! thatz true indeed. if an afrikan gene gets into any other race most definetely the baby will come out w/ black features i.e. big head, large nose, thick lips, curly hair, volumptuous body n ass (girls) etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…