Rais mteule Rutto atakutana na Rais wa Somalia kuiimarisha Biashara ya mirungi

Rais mteule Rutto atakutana na Rais wa Somalia kuiimarisha Biashara ya mirungi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais mteule wa Kenya Dr Ruto amesema mara baada ya kuapishwa atashusha Bei ya unga wa ugali kisha Ijumaa atakutana na Rais wa Somalia ili kuiimarisha Biashara ya miraa

Source Citizen tv
 
Duuh, kumbe miraa ni dili!! Sasa Tanzania wanasubiria nini kwenye opportunity kama hii, wamebakia tuu kuumiza tozo za miamala!!
 
Back
Top Bottom