johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais mteule wa Kenya Dkt. Ruto amesema Ushindi wake ni halali na kwamba wale Makamishina wanne waliomkataa hawana nguvu hiyo Kikatiba.
Asema Katiba imempa mamlaka Chebukati kutangaza mshindi na si vinginevyo.
Chanzo: Citizen tv
Asema Katiba imempa mamlaka Chebukati kutangaza mshindi na si vinginevyo.
Chanzo: Citizen tv