Rais Mteule wa Taifa la Marekani Joe Biden leo Ijumaa ametimiza umri wa Miaka 78 ya kuzaliwa kwake

Rais Mteule wa Taifa la Marekani Joe Biden leo Ijumaa ametimiza umri wa Miaka 78 ya kuzaliwa kwake

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Happy birthday to him

FB_IMG_16058694624485669.jpg

Happy anniversary to the family

Kwa niaba ya Makada wote Wazalendo Nchini Tanzania Namtakia kila la kheri Rais Mteule anaposherehekea siku yake muhimu ya kuzaliwa

Tunampongeza pia kwa ushindi wa kishindo
 
Back
Top Bottom