#COVID19 Rais Museveni ahutubia taifa kuhusu Corona - COVID-19

#COVID19 Rais Museveni ahutubia taifa kuhusu Corona - COVID-19

Jaynas

Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
15
Reaction score
14
Huku idadi ya wagonjwa waliopona Corona kufikia28 baada ya wagonjwa wengine 6 kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali leo hii.

Rais Museveni wa Uganda amesema kuwa“Nawapongeza madaktari na wahudumu wote wa afya Uganda kwa kazi nzuri, mmeweza kupambana na corona huku wenyewe mkiwa salama pia, tukutane baadae nitakapolihutubia taifa kuhusu mwenendo wa ugonjwa huu wa corona”

Nchi hiyo yenye jumla ya visa vilivyolipotiwa vya ugonjwa wa Corona hadi 55 ambapo wagonjwa 27 wanaendelea na matibabu, huku 28 wakiwa wamepona na hakuna kifo hata kimoja kitokanacho na corona.

Fungua kiambatanisho kusoma hotuba ya Rais Museveni

https://www.jamiiforums.com/data/at...RESS_ON_CORONA_VIRUS_4_MAY_2020-converted.pdf
 

Attachments

Rais wa China aliongea mara mbili tu toka corona iingie na kuisha

Magufuli anawaamini wasaidizi wake wanafanya kazi kubwa kumsaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa China aliongea mara mbili tu toka corona iingie na kuisha

Magufuli anawaamini wasaidizi wake wanafanya kazi kubwa kumsaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu zangu wa MATAGA, come back to your senses - huu ugonjwa hauchagui itikadi. tayari mmoja wa MATAGA tunayemfahamu wote keshasombwa na huu ugonjwa (RIP) na MATAGA wengi wapo Mloganzila wanaugulia huko (tunaomba Mungu awaponye).

hali ya maambukizi nchini kwetu ni mbaya sana kuliko watu wanavyosikia na kuona kwa juu juu. hii siyo exaggeration - ni fact ambayo ipo supported na numbers.

ndani ya wiki 2 tu tumeshuhudia maambukizi nchini kwetu yakiongezeka exponentially kutoka 25 hadi 254 (ongezeko la 916% au zaidi ya mara 10!!)

katika global perspective, Tanzania ni moja ya nchi zilizo na the worst recovery rate ya walioambukizwa - in fact, tunazidiwa na nchi zote zinazotuzunguka, hata DRC wametuzidi.

hapa chini ni COVID-19 recovery rate hadi kufikia asubuhi ya leo kwa nchi zinazopakana na Tanzania:

Burundi 80%
Uganda 68%
Rwanda 54%
Zambia 54%
Kenya 24%
Mozambique 20%
Malawi 18%
DRC 10%
Tanzania 4%

hii trend ni ushahidi tosha kuwa serekali yetu haina mkakati wowote kwenye hii vita. inategemea zaidi bahati na neema ya Mungu. recovery kingekuwa ni kipimo kizuri cha uthabiti wa serekali katika ku deal na hii situation.
 
hali ya maambukizi nchini kwetu ni mbaya sana kuliko watu wanavyosikia na kuona kwa juu juu. hii siyo exaggeration - ni fact ambayo ipo supported na numbers.

Hali mbaya wapi tuondolee uzushi hapa

Hali ingekuwa mbaya tungeona mtaani

Hizo propaganda mnazopiga bora ziishie ufipa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndugu zangu wa MATAGA, come back to your senses - huu ugonjwa hauchagui itikadi. tayari mmoja wa MATAGA tunayemfahamu wote keshasombwa na huu ugonjwa (RIP) na MATAGA wengi wapo Mloganzila wanaugulia huko (tunaomba Mungu awaponye).

hali ya maambukizi nchini kwetu ni mbaya sana kuliko watu wanavyosikia na kuona kwa juu juu. hii siyo exaggeration - ni fact ambayo ipo supported na numbers.

ndani ya wiki 2 tu tumeshuhudia maambukizi nchini kwetu yakiongezeka exponentially kutoka 25 hadi 254 (ongezeko la 916% au zaidi ya mara 10!!)

katika global perspective, Tanzania ni moja ya nchi zilizo na the worst recovery rate ya walioambukizwa - in fact, tunazidiwa na nchi zote zinazotuzunguka, hata DRC wametuzidi.

hapa chini ni COVID-19 recovery rate hadi kufikia asubuhi ya leo kwa nchi zinazopakana na Tanzania:

Burundi 80%
Uganda 68%
Rwanda 54%
Zambia 54%
Kenya 24%
Mozambique 20%
Malawi 18%
DRC 10%
Tanzania 4%

hii trend ni ushahidi tosha kuwa serekali yetu haina mkakati wowote kwenye hii vita. inategemea zaidi bahati na neema ya Mungu. recovery kingekuwa ni kipimo kizuri cha uthabiti wa serekali katika ku deal na hii situation.
Hivi kuna watu wanafrahia watu kuambukizwa? Siasa mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom