Raia wa sehemu hiyo ni watu wanaounga mkono harakati za Boby Wine kwa yanayofanywa na Museveni huko Uganda aliyepokea kipigo na kufa baadae baada ya kipigo anajulikana kwa jina la Sweet Pepsi (Ssewankambo Hannington).
================
Ssewankambo Hannington maarufu kama Sweet Pepsi ambaye alipigwa na wanausalama wa Uganda katika maandamano ya ‘’Free Bobi Wine’’ mwaka jana, amefariki dunia.
Taarifa kutoka kwa wanafamilia yake wanasema kijana huyo aliyekuwa mfuasi wa harakati za ‘’People Power’’ alivuta pumzi yake ya mwisho siku ya Jumatano.
Mwanahabari wa BBC Atulinda Allan ambaye alimsaidia Sweet Pepsi kwa kumfunga ‘bandage’ baada ya kupwigwa na wanajeshi amesema kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuwa amepata taarifa za kifo hicho kutoka kwa dada wa Sweet Pepsi.
Raia wa hiyo sehemu ni watu wanaounga mkono harakati za Boby Wine kwa yanayofanywa na Museveni huko Uganda aliyepokea kipigo na kufa baadae baada ya kipigo anajulikana kwa jina la Sweet Pepsi (Ssewankambo Hannington).
================
Ssewankambo Hannington maarufu kama Sweet Pepsi ambaye alipigwa na wanausalama wa Uganda katika maandamano ya ‘’Free Bobi Wine’’ mwaka jana, amefariki dunia.
Taarifa kutoka kwa wanafamilia yake wanasema kijana huyo aliyekuwa mfuasi wa harakati za ‘’People Power’’ alivuta pumzi yake ya mwisho siku ya Jumatano.
Mwanahabari wa BBC Atulinda Allan ambaye alimsaidia Sweet Pepsi kwa kumfunga ‘bandage’ baada ya kupwigwa na wanajeshi amesema kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuwa amepata taarifa za kifo hicho kutoka kwa dada wa Sweet Pepsi.
Museveni anajisikia poa tu...hata huku kwetu kuna watu wanakufa(mfano Akwilina, Daniel, Mawazo) lakini kuna mtu anajisikia poa tu yani fresh na Jumapili anaingia Church kama kawa yani
Nakumbuka historia kadhaa niliwahi kusoma miaka kadhaa iliyopita, Mapinduzi ya Uingereza, Mapinduzi ya Ufaransa yalianza hivyo hivyo. Iko siku Umma utaingia barabarani na hakuna Askari atakaeweza kudhibiti
Museveni anajisikia poa tu...hata huku kwetu kuna watu wanakufa(mfano Akwilina, Daniel, Mawazo) lakini kuna mtu anajisikia poa tu yani fresh na Jumapili anaingia Church kama kawa yani