Rais Museveni apiga marufuku kuuza madini ghafi

Rais Museveni apiga marufuku kuuza madini ghafi

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema amepiga marufuku madini ghafi ya Uganda kusafirishwa nje ya nchi kwasababu hataki kuwa sehemu ya wasaliti wa Uganda na Afrika kwa ujumla kwa kutumika kuwatajirisha watu wa mataifa ya kigeni
 
Back
Top Bottom