Rais Museveni awapiga mkwara wanaopanga kuandamana Julai 23, 2024 kupinga Vitendo vya Rushwa

Mu 7 na Kagame Vijana wa Mwalimu Nyerere [emoji23]
Kumsifia sifia Nyerere kwa mambo ya sio kua ya ukweli ndo imetufanya watanzania tuonekane kichekesho mbele ya mataifa mengine mnafanya nyerere kua Cult wakati nchi ilimshinda kabisa na nchi inateseka kwa makosa ya huyu Nyerere wenu.
 
Kusifia sifia nyerere kwa mambo ya sio kua ya ukweli ndo imetufanya watanzania tuonekane kichekesho mbele ya mataifa wengine mnafanya nyerere kua Cult wakati nchi ilimshinda kabisa.
Kwahiyo unataka tumsifie Selemani Takadiri?
 
Kumsifia sifia Nyerere kwa mambo ya sio kua ya ukweli ndo imetufanya watanzania tuonekane kichekesho mbele ya mataifa mengine mnafanya nyerere kua Cult wakati nchi ilimshinda kabisa na nchi inateseka kwa makosa ya huyu Nyerere wenu.
Wapi nilipomsifia Nyerere bwashee? 😂😂😂😂
 
Wajinga kama wewe mpo wengi lakini mtakwisha tu. Yaani wenzako wanapinga ufisadi wewe unaleta ujinga wako. Kufa kabisa wewe na uchomwe moto uteketee
 
Kwa ujumla Maisha Uganda yako chini kuliko Tanzania ndio maana GenZ kule wana chill.

Hawa GenMaiti wa Tanzania wana maisha magumu sana
Uganda kila kitu kiko chini na pesa inapatikana sharti upige kazi Kwa bidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…