Rais Museveni eti alikosea mwaka wake wa kuzaliwa, ajisogezea mbele!!

Rais Museveni eti alikosea mwaka wake wa kuzaliwa, ajisogezea mbele!!

tikatika

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
2,330
Reaction score
4,121
Hakika bara letu la Africa hatukosi vituko!!

Kuna taarifa zinasambaa mitandaon kumhusu rais museveni. Tangu aingie mstuni mpaka kutwaa kiti cha urais alifahamika kama mtu aliye zaliwa mwa 1943. Na kwa wanaofatilia siasa za Uganda watakumbuka rais huyo wakati anaingia madarakani alisimamia utaratibu wa kubadilisha utawala kila baada ya miaka mitano mitano kwa vipindi viwili yaan miaka kumi.

Mara hamadi miaka kumi sii mingi hiyo hapo!! Daa akapindua katiba akajiongezea muda wa kutawala. Hata ule aliojiongezea akakukuta huo umefika . Kwa wakati huu kuwaridhisha Waganda akaweka ukomo wa urais kuwa ni miaka 75. Huku akijua ni mbali sana kwa yeye kufikisha miaka 75. Mara Hamadi miaka 75 iko mlangoni!

Hapa akapeleka hoja bungeni kutaka katiba ibadilishwe kusiwe na ukomo wa umri wa kuwa rais. Hapo kidoogo wabunge wamemdindia. Kapiga hesabu kaona aje na hii hapa. Kwamba yeye hakuzaliwa mwaka wa 1943 kumbukumbu za kuzaliwa kwake hazikutunzwa vizuri!! Bali alizaliwa mwaka wa 1947.

Cha kujifunza hapa ni kwamba kuwa kutawala kutamu tusifikilie itakua rahisi kuwatoa CCM!
Watatunga kila sheria kuhakikisha wanabaki madarakani. Na swala la kuweka tume huru hili tusahau. Labda tupange kuandamana kama zimbabwe
acde3f45c5414bd7cb85ef472fd841da.jpg
 
Hakika bara letu la Africa hatukosi vituko!!

Kuna taarifa zinasambaa mitandaon kumhusu rais museveni. Tangu aingie mstuni mpaka kutwaa kiti cha urais alifahamika kama mtu aliye zaliwa mwa 1943. Na kwa wanaofatilia siasa za Uganda watakumbuka rais huyo wakati anaingia madarakani alisimamia utaratibu wa kubadilisha utawala kila baada ya miaka mitano mitano kwa vipindi viwili yaan miaka kumi.

Mara hamadi miaka kumi sii mingi hiyo hapo!! Daa akapindua katiba akajiongezea muda wa kutawala. Hata ule aliojiongezea akakukuta huo umefika . Kwa wakati huu kuwaridhisha Waganda akaweka ukomo wa urais kuwa ni miaka 75. Huku akijua ni mbali sana kwa yeye kufikisha miaka 75. Mara Hamadi miaka 75 iko mlangoni!

Hapa akapeleka hoja bungeni kutaka katiba ibadilishwe kusiwe na ukomo wa umri wa kuwa rais. Hapo kidoogo wabunge wamemdindia. Kapiga hesabu kaona aje na hii hapa. Kwamba yeye hakuzaliwa mwaka wa 1943 kumbukumbu za kuzaliwa kwake hazikutunzwa vizuri!! Bali alizaliwa mwaka wa 1947.

Cha kujifunza hapa ni kwamba kuwa kutawala kutamu tusifikilie itakua rahisi kuwatoa CCM!
Watatunga kila sheria kuhakikisha wanabaki madarakani. Na swala la kuweka tume huru hili tusahau. Labda tupange kuandamana kama zimbabwe
acde3f45c5414bd7cb85ef472fd841da.jpg
Umenikumbusha Mugabe!!
 
Na hao ndo viongozi wa kiafrika wanaojiona wana akili sanaaa kuliko wenzao.aibu yetu waafrika
 
Bila shaka somo LA Zimbabwe limeeleweka! Kama hajaelewa amwulize Mugabe!
 
HIO NI TAARIFA YA KUBATIZWA KWAKE NA WALA SIO SIKU YA KUZARIWA LABDA KAMA MNASEMA WAPROTESTANT HUBATIZA WATOTO WADDOGO WALIOZALIWA NA HAWAJAFIKISHA ZAIDI YA MWAKA? KWA TAALIFA YAKO TU MIKA HIO YA 1940 KUBATIZWA WATOTO WALIANZIA MTOTO MWENYE MIAKA MITANO NA KWENDA JUU
 
I personally think he has done good job, and brought stability, some peace after years constant coups every few years in Uganda, But it time for him to go and leave the country to other people to take over.

Why not prepare somebody else to take over and leave the office with your reputation intact? There is no need for him to cling to power. What is he gonna gain /achieve in the next 5 years?
 
hivi vituko utavikuta kusini mwa jangwa la sahara peke yake!
 
Hakika bara letu la Africa hatukosi vituko!!

Kuna taarifa zinasambaa mitandaon kumhusu rais museveni. Tangu aingie mstuni mpaka kutwaa kiti cha urais alifahamika kama mtu aliye zaliwa mwa 1943. Na kwa wanaofatilia siasa za Uganda watakumbuka rais huyo wakati anaingia madarakani alisimamia utaratibu wa kubadilisha utawala kila baada ya miaka mitano mitano kwa vipindi viwili yaan miaka kumi.

Mara hamadi miaka kumi sii mingi hiyo hapo!! Daa akapindua katiba akajiongezea muda wa kutawala. Hata ule aliojiongezea akakukuta huo umefika . Kwa wakati huu kuwaridhisha Waganda akaweka ukomo wa urais kuwa ni miaka 75. Huku akijua ni mbali sana kwa yeye kufikisha miaka 75. Mara Hamadi miaka 75 iko mlangoni!

Hapa akapeleka hoja bungeni kutaka katiba ibadilishwe kusiwe na ukomo wa umri wa kuwa rais. Hapo kidoogo wabunge wamemdindia. Kapiga hesabu kaona aje na hii hapa. Kwamba yeye hakuzaliwa mwaka wa 1943 kumbukumbu za kuzaliwa kwake hazikutunzwa vizuri!! Bali alizaliwa mwaka wa 1947.

Cha kujifunza hapa ni kwamba kuwa kutawala kutamu tusifikilie itakua rahisi kuwatoa CCM!
Watatunga kila sheria kuhakikisha wanabaki madarakani. Na swala la kuweka tume huru hili tusahau. Labda tupange kuandamana kama zimbabwe
acde3f45c5414bd7cb85ef472fd841da.jpg
Amen
 
Binadamu wa aina ya museveni ndio wanaosababusha Trump atutukane!, ulafi tu unamsumbua
 
Back
Top Bottom