Rais Museveni: Siwezi kuwa Rais wa taifa ambalo raia wanauawa na wauaji hawakamatwi

Rais Museveni: Siwezi kuwa Rais wa taifa ambalo raia wanauawa na wauaji hawakamatwi

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Kupitia video niliyoiambatanisha kwenye uzi huu mshuhudie Museveni na tambo zake


Mwaka 1989 Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni kupitia video niliyoweka alinukuliwa akisema kuwa hawezi kuwaongoza Waganda endapo Raia watakuwa wanauawa na Vyombo vya Ulinzi vishindwe kuwatambua wauaji

> Leo ni mwaka 2018 vyombo vya habari vimeripoti kuuawa kwa kupigwa risasi kwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Buyende, Muhammad Kirumira pamoja na Mkewe

> Mpaka sasa hakuna taarifa za kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na Mzee Museveni hajajiuzulu kama alivyoahidi mwaka 1989
 

Attachments

Kupitia video niliyoiambatanisha kwenye uzi huu mshuhudie Museveni na tambo zake


Mwaka 1989 Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni kupitia video niliyoweka alinukuliwa akisema kuwa hawezi kuwaongoza Waganda endapo Raia watakuwa wanauawa na Vyombo vya Ulinzi vishindwe kuwatambua wauaji

> Leo ni mwaka 2018 vyombo vya habari vimeripoti kuuawa kwa kupigwa risasi kwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Buyende, Muhammad Kirumira pamoja na Mkewe

> Mpaka sasa hakuna taarifa za kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na Mzee Museveni hajajiuzulu kama alivyoahidi mwaka 1989

Halikuwa hajajua utamu wa madaraka...........
 
Kupitia video niliyoiambatanisha kwenye uzi huu mshuhudie Museveni na tambo zake


Mwaka 1989 Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni kupitia video niliyoweka alinukuliwa akisema kuwa hawezi kuwaongoza Waganda endapo Raia watakuwa wanauawa na Vyombo vya Ulinzi vishindwe kuwatambua wauaji

> Leo ni mwaka 2018 vyombo vya habari vimeripoti kuuawa kwa kupigwa risasi kwa aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Buyende, Muhammad Kirumira pamoja na Mkewe

> Mpaka sasa hakuna taarifa za kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na Mzee Museveni hajajiuzulu kama alivyoahidi mwaka 1989
Habari ilotolewa kuuawa na mkewe sio kweli. Bali alikuwa mwanamke mwingine ambaye hadi sasa jina lake limehifadhiwa..Mkewe yipo hai mzima qa afya.. Waandishi wa Habari acheni kusema Uongo ili kuuza magazeti.
 
Screenshot_20180910-183458.png
 
Back
Top Bottom