Rais Mwai Kibaki na Gharama za Umeme Kenya

Kipanga

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
676
Reaction score
38
Rais wa Kenya Mwai Kibaki ameiamuru Wizara ya Fedha na Nishati nchini humo kupitia upya viwango vya kodi zinazotozwa katika gharama za umeme nchini humo. Lengo ni kuhakikisha kuwa kodi ambazo zinachangia kuwaumiza watumiaji wa umeme zinapunguzwa kama si kuondolewa kabisa... JK na EWURA mpo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…