Rais Mwinyi ajumuika ibada ya Ijumaa kumuombea Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi

Rais Mwinyi ajumuika ibada ya Ijumaa kumuombea Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa na Dua Maalum ya kumuombea Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyofanyika Masjid Hidaya Kilimani Tazari, Mkoa wa Kaskazini Unguja - tarehe 12 Aprili, 2024.

Pia soma:
- Je, utamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa mambo gani?

IMG-20240412-WA0046.jpg
IMG-20240412-WA0042.jpg
IMG-20240412-WA0044.jpg
IMG-20240412-WA0045.jpg
IMG-20240412-WA0048.jpg
IMG-20240412-WA0043.jpg
IMG-20240412-WA0047.jpg
IMG-20240412-WA0049.jpg
 
Back
Top Bottom