Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi zanzibar hakuna ata waswahili swahili wakapewa vyeo
waswahili gani hao unaowataka mkuu?
naona wanao teuliwa ni warabu na wahindi mkuuwaswahili gani hao unaowataka mkuu?
Kina Joseph john
Haa Wagalatia, Warumi Ni Wachache Sanakumbe unataka wagalitaya, mkuu zenj wagalitaya ni 0.6% tu ya watu wao. So sio ajabu kuwa huwaoni wengi kwenye teuzi
Wangekuwa wengi sema roho zenu mbaya mnawavunjia makanisa yao..kumbe unataka wagalitaya, mkuu zenj wagalitaya ni 0.6% tu ya watu wao. So sio ajabu kuwa huwaoni wengi kwenye teuzi
Wangekuwa wengi sema roho zenu mbaya mnawavunjia makanisa yao..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujui kuwa dunia ni muingiliano wawatu tofauti tofauti..Hayo makanisa munayosema yanavunjwa waumini wake wote ni wageni . Wakristo wa Zanzibar makanisa yao ni mawili tu.
Issue sio race ni performancenaona wanao teuliwa ni warabu na wahindi mkuu
Nadhani hujui kuwa dunia ni muingiliano wawatu tofauti tofauti..
Acheni kuwavunjia makanisa..hata kama ni wageni...kila mtu anahaki yake ndani ya hii nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku sio tanganyika!Kina Joseph john
Huyu bi Zena, s amuachie Charles Hillary atunyoshe kidgo. Yeye kila siku kwwnye press release. Hyo Mambo madogo kwake
hujaelewa....Issue sio race ni performance
Uke ku comment mbeleni kama performance yake itakuwa mbovu
Raisi Raisi Mwinyi is a no nonsense President akiteua mtu anateua certified Perfomer labda huyo mteuliwa achemke mwenyewe