Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT Wazalendo wakiachana na chama hicho

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000.

Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi?

====
Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba.
 
Bwaaa mdogo kadiri ya JUSSA mwakani wanamrudisha kwake yaani huku kwetu bara!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…