Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Nov 2, 2024 #1 Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba. View attachment 3141542
Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba. View attachment 3141542
Nandagala One JF-Expert Member Joined Aug 19, 2020 Posts 1,913 Reaction score 2,286 Nov 2, 2024 #2 Bwaaa mdogo kadiri ya JUSSA mwakani wanamrudisha kwake yaani huku kwetu bara!!