Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Nov 2, 2024 #1 Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Nov 2, 2024 #2 Ni kama wametoka CCM B na kwenda CCM A😏
Econometrician JF-Expert Member Joined Oct 25, 2013 Posts 16,879 Reaction score 31,253 Nov 2, 2024 #3 Kuna watu wanazaliwa na bahati,eti mtu kama Mwinyi nae ni Rais. Jamani maajabu hayatakuja kuisha Duniani.
Kuna watu wanazaliwa na bahati,eti mtu kama Mwinyi nae ni Rais. Jamani maajabu hayatakuja kuisha Duniani.