Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Nov 2, 2024 #1 Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Nov 2, 2024 #2 Kumekucha
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Nov 2, 2024 #3 Kumekucha
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Nov 2, 2024 #4 Kumekucha
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Nov 2, 2024 #5 Mwinyi hakubaliki Zanzibar. Moja, siyo mzanzibari mzawa na mkazi. Mbili, hakushinda uchaguzi wa 2020, aliwekwa na mabavu ya jiwe. Pamoja na kufanya hizi siasa zake za kizamani bado 2025 hatoboi. Wazanzibari hatumtaki.
Mwinyi hakubaliki Zanzibar. Moja, siyo mzanzibari mzawa na mkazi. Mbili, hakushinda uchaguzi wa 2020, aliwekwa na mabavu ya jiwe. Pamoja na kufanya hizi siasa zake za kizamani bado 2025 hatoboi. Wazanzibari hatumtaki.
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Nov 2, 2024 #6 Mwinyi hakubaliki Zanzibar. Moja, siyo mzanzibari mzawa na mkazi. Mbili, hakushinda uchaguzi wa 2020, aliwekwa na mabavu ya jiwe. Pamoja na kufanya hizi siasa zake za kizamani bado 2025 hatoboi. Wazanzibari hatumtaki.
Mwinyi hakubaliki Zanzibar. Moja, siyo mzanzibari mzawa na mkazi. Mbili, hakushinda uchaguzi wa 2020, aliwekwa na mabavu ya jiwe. Pamoja na kufanya hizi siasa zake za kizamani bado 2025 hatoboi. Wazanzibari hatumtaki.