Mwinyi hakubaliki kabisa hapa Zanzibar, kwasbbu:-
1. Siyo mzanzibari mzawa na mkazi.
2. Hakushinda uchaguzi mkuu wa 2020, aliwekwa tu kimabavu na jiwe.
Hata afanye hizi siasa zake za kizamani hatoboi 2025.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.