Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT Wazalendo wakiachana na chama hicho

Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT Wazalendo wakiachana na chama hicho

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000.

Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi?

====
Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
 
Mwinyi hakubaliki kabisa hapa Zanzibar, kwasbbu:-
1. Siyo mzanzibari mzawa na mkazi.
2. Hakushinda uchaguzi mkuu wa 2020, aliwekwa tu kimabavu na jiwe.

Hata afanye hizi siasa zake za kizamani hatoboi 2025.
 
Back
Top Bottom