Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Nov 2, 2024 #1 Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
Wakuu, Tunaendelea na maigizo tupo kwenye episode ya 2000. Hivi ACT bado wanatumia kadi hizi za makaratasi? ==== Rais Mwinyi apokea kadi za wanachama wa ACT wazalendo uwanja wa Gombani, Pemba
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Nov 2, 2024 #2 Mwinyi hakubaliki kabisa hapa Zanzibar, kwasbbu:- 1. Siyo mzanzibari mzawa na mkazi. 2. Hakushinda uchaguzi mkuu wa 2020, aliwekwa tu kimabavu na jiwe. Hata afanye hizi siasa zake za kizamani hatoboi 2025.
Mwinyi hakubaliki kabisa hapa Zanzibar, kwasbbu:- 1. Siyo mzanzibari mzawa na mkazi. 2. Hakushinda uchaguzi mkuu wa 2020, aliwekwa tu kimabavu na jiwe. Hata afanye hizi siasa zake za kizamani hatoboi 2025.