Rais Mwinyi awachana Upinzani adai kama hawaoni Flyovers, watazame angani!

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi ametupa kijembe kwa vyama vya upinzani ambavyo vimezoea kutoa kasoro katika miradi mbalimbali na kusema ndo wanaanza

Kwa mujibu wa Hussein mwinyi amesema sasa watamtungia jina la Mwinyi maflyover na wakisema hawaoni watazame ya angani kama hawaoni watakuwa Juha.
Your browser is not able to display this video.
 
Yeye mwenyewe ameingia Madarakani kwa Wizi mkubwa wa Kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…