Rais na mkutano na machifu!

Rais na mkutano na machifu!

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Chief anasema, wao ndio walinzi wa hii nchi. wanasema wao wanasali kwenye misitu. nimeamin wazungu walikua sahihi waliposema utamaduni wa kiafrica ni wa kishenzi.
 
Thus hatuna maendeleo sababu ya nchi inalindwa na mizimu mizimu na maendeleo wapi na wapi.
Maendeleo means tamaduni za wageni
 
Chief anasema, wao ndio walinzi wa hii nchi. wanasema wao wanasali kwenye misitu. nimeamin wazungu walikua sahihi waliposema utamaduni wa kiafrica ni wa kishenzi.
Ww unaujua utamaduni wa wazungu haya wamesema jinsia moja waowane wafuate hao wazungu wako uache misimu yenu utembee na pempasi.
 
Mungu yupo popote hata kwenye misitu na baraka anatoa popote sio kanisani au msikitini tu!
 
Unamaanisha Chifu Hangaya kakutana na machifu wenzake?
 
Uhuru wa imani ni moja ya haki ya kila raia ndio maana kuna manabii wengi wa uongo wanazuka na hawaingiliwi katika wanachokifanya
Kwahiy kila mmoja aamini anachokiamin tujenge taifa Letu
 
Chief anasema, wao ndio walinzi wa hii nchi. wanasema wao wanasali kwenye misitu. nimeamin wazungu walikua sahihi waliposema utamaduni wa kiafrica ni wa kishenzi.
Wao ndio vyombo vya Ulinzi na Usalama?
 
na kiuna mbumbumbu mmoja asiyevaa viatu anamwabudu samia, anampa sifa utafikiri mungu wake. hili jamaa linatumikaga sana kuwapoteza watanzania directions.
 
sasa zile perdiem wamepewa kuja pale, ndo wanamtuza nao mjombamjomba, sijui watarudi na nauli gani.
 
Wanawanga kwenye misitu au wanasali? Si ndo hawa wanatulimisha tunaamka migojgo imechoka.
Shida ya uchawi ni nguvu angamizi siku zote haujengi. Uchawi unaezatumikakumwingiza mtu bungeni au ikulu lakini asiwe na msaada kwa jamii.
 
Back
Top Bottom