Rais na siasa

FADHILI KIKA

Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
6
Reaction score
0
Katika rasimu ya pili ya katiba ya nchi kuna kipengele kimeandikwa kwamba RAIS wa jamhuri ya muungano asijihusishe na chama cha siasa,swali ni kwamba itawezekanaje kutojihusisha na siasa na wakati ameteuliwa na chama kuwania nafasi hiyo na wana nchi wamemchagua kupitia chama husika?,wadau uwanja kwenu je mnasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…