DOKEZO Rais na Waziri wa Afya mtoeni Dkt. Ibenzi Ernest Hospitali ya Rufaa Dodoma

DOKEZO Rais na Waziri wa Afya mtoeni Dkt. Ibenzi Ernest Hospitali ya Rufaa Dodoma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Avantar 2

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
524
Reaction score
527
Rais Samia, Waziri wa Afya na Makatibu Wakuu Wizara, kwa taadhima tunaomba umtoe Dkt. Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma.

Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafsi na kufanya kazi kwa mazoea. Pia amekuwa akiwatukana, kuwadhalilisha na kuwakaripia Watumishi kama watoto/wafanyakazi wake wa nyumbani.

Pia miradi zaidi ya 6 imekwama kuendele kwa kisingizio cha kutopata fedha toka Serikalini. Ana makandokando mengi sana ya ubadhilifu wa fedha za Umma, TAKUKURU wachunguze kwa kina.

Zaidi analalamikiwa kwa ukabila '''Sukuma gang'' na kuzorotesha jitihada za Rais Samia. Ikumbukwe kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma ni kimbilio la sisi wanyonge na Viongozi wa Serikali.

Hivyo kwa Utawala bora, ustawi jamii na Watumishi wa Afya nchini, tunaomba Dkt. Ernest Ibenzi atolewe/ahamishwe Hospitali ya Rufaa Dodoma ili kuleta maendeleo, ufanisi na huduma bora kwa wana Dodoma na Taifa zima.

Kwa pamoja tunalijenga Taifa.
 
Mh.Rais Samia Suruhu Hassan Rais wa Jamihuri Muungano Tanzania.Waziri wa Afya maendeleo ya jamii Wazee na Watoto na Makatibu Wakuu Wizara.
Kwa taadhima tunaomba umtoe Dr Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma.Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafi na kufanya kazi kwa mazoea.Pia amekuwa akiwatukana,kuwadhalilisha na kuwakalipia Watumishi kama Watoto/Wafanyakazi wake wa nyumbani.
Pia miradi zaidi ya 6 imekwama kuendele kwa kisingiziocha kuto pata fedha toka Serikalini.Ana makandokando mengi sana ya ubadhilifu wa fedha za Umma TAKUKURU wachunguze kwa kina.
Zaidi analalamikiwa kwa ukabila '''Sukuma gang'' 'kuzorotesha jitihada za Mh.Rais Samia Suruhu Hassan.Ikumbukwe kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma ni kimbilio la sisi Wanyonge na Viongozi wa Serikali.
Hivyo kwa Utawala bora usitawa jamii na Watumishi wa Afya nchini.Tunaomba Dr Ernest Ibenzi atolewe/ahamishe Hospitali ya Rufaa Dodoma ili kuleta maendeleo,ufanisi na huduma bora kwa Wana Dodoma naTaifa zima.
Kwa pamoja tunalijenga Taifa.
Atolewe aende wapi huyo hatoki kamwe wajibikeni hatowakaripia tunahitaji madaktari kama hao, kama wewe na wengine mna malalamiko pelekeni mahala panapohusika, serikali haifanyii kazi maneno madogomadogo ya mitandaoni, isije kuwa ni chuki binafsi, pia yawezekana ni sawa, lakini ilikuwa siku moja kwa kuwa binadamu wote hatujakamilika, we endelea kuvumilia tu hakuna namna.
 
Atolewe aende wapi huyo hatoki kamwe wajibikeni hatowakaripia tunahitaji madaktari kama hao, kama wewe na wengine mna malalamiko pelekeni mahala panapohusika, serikali haifanyii kazi maneno madogomadogo ya mitandaoni, isije kuwa ni chuki binafsi, pia yawezekana ni sawa, lakini ilikuwa siku moja kwa kuwa binadamu wote hatujakamilika, we endelea kuvumilia tu hakuna namna.
Sawa Sukuma gang ubunifu sifuri kabisa Hospitali ipo kama kituo Cha afya
 
Nilivyoanza kusoma ni kama vile nilihisi kuelewa lkn kadri nilivyoendelea kusoma ndyo nikagundua kua hii nayo ni HIP HOP jitahidi mwanangu utatoka kwa mistari hii ya ukabila itakulipa
 
Wajibikeni na awafokee mkiléta uzembe,kuweni Kama Benjamin Mkapa,pale wafanyakazi aanaaajibika hasa na Dr.Chandika anafikia mahali hadi ana-appreciate ufanyaji kazi wao,na kuwapa ofa mbalimbali kama motisha.
 
Sawa Sukuma gang ubunifu sifuri kabisa Hospitali ipo kama kituo Cha afya
Malalamiko yako yapeleke mahala panapohusika kwa nini utuambie sisi wakati sisi sio mwajiri wake,? Sukuma gang ni wewe maana mlizoea kufanya kazi kwa mazoea kwa sasa hakuna kitu kama hicho, Kazi Iendelee.
 
Rais Samia, Waziri wa Afya na Makatibu Wakuu Wizara, kwa taadhima tunaomba umtoe Dkt. Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma.

Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafsi na kufanya kazi kwa mazoea. Pia amekuwa akiwatukana, kuwadhalilisha na kuwakaripia Watumishi kama watoto/wafanyakazi wake wa nyumbani.

Pia miradi zaidi ya 6 imekwama kuendele kwa kisingizio cha kutopata fedha toka Serikalini. Ana makandokando mengi sana ya ubadhilifu wa fedha za Umma, TAKUKURU wachunguze kwa kina.

Zaidi analalamikiwa kwa ukabila '''Sukuma gang'' na kuzorotesha jitihada za Rais Samia. Ikumbukwe kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma ni kimbilio la sisi wanyonge na Viongozi wa Serikali.

Hivyo kwa Utawala bora, ustawi jamii na Watumishi wa Afya nchini, tunaomba Dkt. Ernest Ibenzi atolewe/ahamishwe Hospitali ya Rufaa Dodoma ili kuleta maendeleo, ufanisi na huduma bora kwa wana Dodoma na Taifa zima.

Kwa pamoja tunalijenga Taifa.
Alafu umenikumbusha kitu. Wizara ya afya kipindi Cha dictator magufuri kulikuwa na usukuma mwingi sana.

DMO's
RMO's

Waliteuliwa wengi sana mpaka kwenye halmashauri imekuwa kero.

Wizara ianze kusafisha maana ni vitengo ambavyo vilivamiwa sans vikisimamiwa na Abel Makubi.
 
Nilivyoanza kusoma ni kama vile nilihisi kuelewa lkn kadri nilivyoendelea kusoma ndyo nikagundua kua hii nayo ni HIP HOP jitahidi mwanangu utatoka kwa mistari hii ya ukabila itakulipa
Ukabila upi mimi ni mchaga kutoka Machame Narumu na kama unaweza tuongee mi nachangia kutokana na mada yako ulivyoileta humu au hujui hili ni jukwa la wote.
 
Alafu umenikumbusha kitu. Wizara ya afya kipindi Cha dictator magufuri kulikuwa na usukuma mwingi sana.

DMO's
RMO's

Waliteuliwa wengi sana mpaka kwenye halmashauri imekuwa kero.

Wizara ianze kusafisha maana ni vitengo ambavyo vilivamiwa sans vikisimamiwa na Abel Makubi.
Asante sana Mkuu Mh.Rais Samia Suruhu Hassan.Kipindi hiki twumwombee Rais wetu kwa sala ili apewe hekima na Mungu.
 
Malalamiko yako yapeleke mahala panapohusika kwa nini utuambie sisi wakati sisi sio mwajiri wake,? Sukuma gang ni wewe maana mlizoea kufanya kazi kwa mazoea kwa sasa hakuna kitu kama hicho, Kazi Iendelee.
Asante utapata shida utakumbuka.nisenacho
 
Alafu umenikumbusha kitu. Wizara ya afya kipindi Cha dictator magufuri kulikuwa na usukuma mwingi sana.

DMO's
RMO's

Waliteuliwa wengi sana mpaka kwenye halmashauri imekuwa kero.

Wizara ianze kusafisha maana ni vitengo ambavyo vilivamiwa sans vikisimamiwa na Abel Makubi.
Mkuu upo sahihi sana Hawa ndiyo wanamkwamisha Mama (Mh.Rais)
 
Nimetoka ushauri ukipata shida komaa na shida Yako.
 
Nimetoka ushauri ukipata shida komaa na shida Yako.
Kwa nini utoe ushauri kwa kujificha kama ni kweli? hata kabla hujatoa malalamiko yako serikali ina mkono mrefu hakuna isichokijua kwenye kila hospitali hata wewe utachunguzwa kuhusiana na hizo tuhuma zako kama ni za kweli ama la.
 
Back
Top Bottom