Kwa nini utoe ushauri kwa kujificha kama ni kweli? Serikali ina mkono mrefu kabla wewe hujatoa hayo malalamiko yako hakuna isichokijua kwenye kila hospitali hata wewe inakujua na utachunguzwa kuhusiana na tuhuma zako kama ni za kweli ama la Kazi Iendelee.Nimetoka ushauri ukipata shida komaa na shida Yako.
Tafiti zinaonyesha hakuna watumishi wanaopenda rushwa kama nyie mnaofanya kazi hapo hospital ya mkoa Dodoma nimeshakutana na watu wengi waliokuja kutibiwa hapo wanalalamika sana.Nafikiri ndo maana mganga mkuu mfawidhi amekuwajua amekua mkali muache iyo tabia mara moja.Rais Samia, Waziri wa Afya na Makatibu Wakuu Wizara, kwa taadhima tunaomba umtoe Dkt. Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma.
Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafsi na kufanya kazi kwa mazoea. Pia amekuwa akiwatukana, kuwadhalilisha na kuwakaripia Watumishi kama watoto/wafanyakazi wake wa nyumbani.
Pia miradi zaidi ya 6 imekwama kuendele kwa kisingizio cha kutopata fedha toka Serikalini. Ana makandokando mengi sana ya ubadhilifu wa fedha za Umma, TAKUKURU wachunguze kwa kina.
Zaidi analalamikiwa kwa ukabila '''Sukuma gang'' na kuzorotesha jitihada za Rais Samia. Ikumbukwe kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma ni kimbilio la sisi wanyonge na Viongozi wa Serikali.
Hivyo kwa Utawala bora, ustawi jamii na Watumishi wa Afya nchini, tunaomba Dkt. Ernest Ibenzi atolewe/ahamishwe Hospitali ya Rufaa Dodoma ili kuleta maendeleo, ufanisi na huduma bora kwa wana Dodoma na Taifa zima.
Kwa pamoja tunalijenga Taifa.
Pole sana kwa kumtete Sukuma gang wenzako.Unajua kuwa asilimia kubwa ya suppler Hospitali Rufaa Mkoa Dodoma ni kampuni zake Dr.Enerst Ibenzi.Tafiti zinaonyesha hakuna watumishi wanaopenda rushwa kama nyie mnaofanya kazi hapo hospital ya mkoa Dodoma nimeshakutana na watu wengi waliokuja kutibiwa hapo wanalalamika sana.Nafikiri ndo maana mganga mkuu mfawidhi amekuwajua amekua mkali muache iyo tabia mara moja.
Kweli Mkuu sisi Wananchi tusipo sema Serikali itapata wapi taarifa.Pia Jamiiforum siyo mafichoni ni sehemu ya kutoa dukudukuili kujenga Taifa letu.Kwa nini utoe ushauri kwa kujificha kama ni kweli? Serikali ina mkono mrefu kabla wewe hujatoa hayo malalamiko yako hakuna isichokijua kwenye kila hospitali hata wewe inakujua na utachunguzwa kuhusiana na tuhuma zako kama ni za kweli ama la Kazi Iendelee.
Kweli Mkuu sisi Wananchi tusipo sema Serikali itapata wapi taarifa.Pia Jamiiforum siyo mafichoni ni sehemu ya kufichua na kusemea madudu ili kujenga Taifa letu.Kwa nini utoe ushauri kwa kujificha kama ni kweli? Serikali ina mkono mrefu kabla wewe hujatoa hayo malalamiko yako hakuna isichokijua kwenye kila hospitali hata wewe inakujua na utachunguzwa kuhusiana na tuhuma zako kama ni za kweli ama la Kazi Iendelee.
Dr wacha uvivu na majungu.Rais Samia, Waziri wa Afya na Makatibu Wakuu Wizara, kwa taadhima tunaomba umtoe Dkt. Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma.
Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafsi na kufanya kazi kwa mazoea. Pia amekuwa akiwatukana, kuwadhalilisha na kuwakaripia Watumishi kama watoto/wafanyakazi wake wa nyumbani.
Pia miradi zaidi ya 6 imekwama kuendele kwa kisingizio cha kutopata fedha toka Serikalini. Ana makandokando mengi sana ya ubadhilifu wa fedha za Umma, TAKUKURU wachunguze kwa kina.
Zaidi analalamikiwa kwa ukabila '''Sukuma gang'' na kuzorotesha jitihada za Rais Samia. Ikumbukwe kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma ni kimbilio la sisi wanyonge na Viongozi wa Serikali.
Hivyo kwa Utawala bora, ustawi jamii na Watumishi wa Afya nchini, tunaomba Dkt. Ernest Ibenzi atolewe/ahamishwe Hospitali ya Rufaa Dodoma ili kuleta maendeleo, ufanisi na huduma bora kwa wana Dodoma na Taifa zima.
Kwa pamoja tunalijenga Taifa.
Ngoja tumsagie kunguniRais Samia, Waziri wa Afya na Makatibu Wakuu Wizara, kwa taadhima tunaomba umtoe Dkt. Ernest Ibenzi Mganga Mkuu mfawidhi Hospitali ya Mkoa Dodoma.
Amegeuza ofisi ya Umma kama Mali yake binafsi na kufanya kazi kwa mazoea. Pia amekuwa akiwatukana, kuwadhalilisha na kuwakaripia Watumishi kama watoto/wafanyakazi wake wa nyumbani.
Pia miradi zaidi ya 6 imekwama kuendele kwa kisingizio cha kutopata fedha toka Serikalini. Ana makandokando mengi sana ya ubadhilifu wa fedha za Umma, TAKUKURU wachunguze kwa kina.
Zaidi analalamikiwa kwa ukabila '''Sukuma gang'' na kuzorotesha jitihada za Rais Samia. Ikumbukwe kuwa Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma ni kimbilio la sisi wanyonge na Viongozi wa Serikali.
Hivyo kwa Utawala bora, ustawi jamii na Watumishi wa Afya nchini, tunaomba Dkt. Ernest Ibenzi atolewe/ahamishwe Hospitali ya Rufaa Dodoma ili kuleta maendeleo, ufanisi na huduma bora kwa wana Dodoma na Taifa zima.
Kwa pamoja tunalijenga Taifa.