Rais ni lazima awe na umri wa miaka 45 na kuendelea, vipi kwa mrithi wake kama hatakuwa na umri huo?

Rais ni lazima awe na umri wa miaka 45 na kuendelea, vipi kwa mrithi wake kama hatakuwa na umri huo?

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Wakuu nataka kujua,

Kwa mujibu wa katiba ya muungano wa Tanzania, Rais wa jamuhuri lazima awe na umri wa kuanzia miaka 45 ndipo anaweza kuwa na sifa ya kugombea urais.

Swali
jJe, kwa mfano Rais X akiwa Madarakani na umri wake ni miaka 50 na Makamu wake Y yeye akawa na umri wa miaka 40. Baadae Rais X akaaga Dunia na hivyo kwa mjibu wa katiba Aliye kuwa makamu wa Rais na maanisha Y ndio atachukua madaraka ikumbukwe Y yeye umri wake ni miaka 40.

Je, kwa mujibu wa katiba huyo Y atakuwa na haki ya kuwa Rais? Na kama ndio je, kigezo cha umri inakuwaje? Maana Y hatokuwa na umri wa kuanzia miaka 45 bali yupo chini ya miaka 45 yaani miaka 40.

Wajuzi msaada wenu.
 
Makamu lazima awe na above 45 pia.... Kijana anaweza kukupindua
 
Makamu lazima awe na above 45 pia.... Kijana anaweza kukupindua
Shukurani sikujua hilo japo kwenye issue ya kupinduliwa Bwana Chalamila alisema Makamu anaweza kumroga Rais aliyepo Madarakani ili kupata nafasi.
 
Miaka 40 chief, ilikua miaka 35 wakati nyerere anaingia kwakua yeye alikua na miaka 39 na waliomfuata wengi walikua na umri mdogo kuliko yeye. Alipopevuka wakaongeza wakasema raisi lazima awe na kuanzia 40 na ndiyo tuliyonayo hadi sasa. Kina Mwigulu na kigwangala walikua na miaka 42 na 40 wakati wanautaka urais 2015.
 
Miaka 40 chief, ilikua miaka 35 wakati nyerere anaingia kwakua yeye alikua na miaka 39 na waliomfuata wengi walikua na umri mdogo kuliko yeye. Alipopevuka wakaongeza wakasema raisi lazima awe na kuanzia 40 na ndiyo tuliyonayo hadi sasa. Kina Mwigulu na kigwangala walikua na miaka 42 na 40 wakati wanautaka urais 2015.
Shukurani mkuu kumbe ni miaka 40 je, na Makamu inapaswa awe na umri kuanzia huo.
 
Wakuu nataka kujua,

Kwa mujibu wa katiba ya muungano wa Tanzania, Rais wa jamuhuri lazima awe na umri wa kuanzia miaka 45 ndipo anaweza kuwa na sifa ya kugombea urais.

Swali
jJe, kwa mfano Rais X akiwa Madarakani na umri wake ni miaka 50 na Makamu wake Y yeye akawa na umri wa miaka 40. Baadae Rais X akaaga Dunia na hivyo kwa mjibu wa katiba Aliye kuwa makamu wa Rais na maanisha Y ndio atachukua madaraka ikumbukwe Y yeye umri wake ni miaka 40.

Je, kwa mujibu wa katiba huyo Y atakuwa na haki ya kuwa Rais? Na kama ndio je, kigezo cha umri inakuwaje? Maana Y hatokuwa na umri wa kuanzia miaka 45 bali yupo chini ya miaka 45 yaani miaka 40.

Wajuzi msaada wenu.
Kila mgombea wakati anaomba hiyo position ni lazima a qualify age requirement hivyo hiyo scenario haiwezi kutokea

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kila mgombea wakati anaomba hiyo position ni lazima a qualify age requirement hivyo hiyo scenario haiwezi kutokea

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Asante mkuu nikafikiri hata makamu anaweza kuwa na miaka hata 35 kumbe hivyo hivyo kwao kigezo cha umri hutumika.
 
Miaka 41. Kasome tena katiba.
Wakuu nataka kujua,

Kwa mujibu wa katiba ya muungano wa Tanzania, Rais wa jamuhuri lazima awe na umri wa kuanzia miaka 45 ndipo anaweza kuwa na sifa ya kugombea urais.

Swali
jJe, kwa mfano Rais X akiwa Madarakani na umri wake ni miaka 50 na Makamu wake Y yeye akawa na umri wa miaka 40. Baadae Rais X akaaga Dunia na hivyo kwa mjibu wa katiba Aliye kuwa makamu wa Rais na maanisha Y ndio atachukua madaraka ikumbukwe Y yeye umri wake ni miaka 40.

Je, kwa mujibu wa katiba huyo Y atakuwa na haki ya kuwa Rais? Na kama ndio je, kigezo cha umri inakuwaje? Maana Y hatokuwa na umri wa kuanzia miaka 45 bali yupo chini ya miaka 45 yaani miaka 40.

Wajuzi msaada wenu.
 
Back
Top Bottom