Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
wajiulize kwanini Argentina hakuna watu weusi ndipo utajua unyama wa wazungu, wazungu ni kizazi cha mashetani ndio maana wapo tayari kuwauzia silaha muuane ili wao wapate mali
Afrika au mtu mweusi ni mabox hatujielewi ndo maana tumekuja kutawaliwa picha za ngono ni sanaa kwao wenzenu wanazitumia kama source of income huku ngono source of HIV weusi kutwa kupigana risasi huko U.S.A nakujiita niga ndo hao wameleta tabia za kihuni duniani angalia wakina 2Pac wameendekeza usela ma.vi mpaka wakafa wangali wadogo acha kujitetea Mijitu mieusi sio yakuyapa Garantee kwenye jambo lolote lile.Hii race imeumbwa kuwa mfuasi wa mtu mweupe ndo maana hatuna jipya kila kitu mzungu ni mgunduzi mweusi yupo duniani kufanya uharibifu vya alivyogundua mweupe.Mi mwenyewe mweusi lakini sina sababu ya kujitetea kuwa mi ni bora kuliko weupe.
lakin hata waarabu pia tunalamika kuwa wabaguzi kwetu pia wayahudi tunasema ni wabaguzi sisi waaafrika kila mtu mweupe tunamlalamikia ni mbaguziMkuu unakosea sana kutaja watu weupe. Kumbuka kuwa Mtume wetu alikuwa arabian/mweupe. Sema wazungu ama wachina ama wahindi mkuu.
Kama imewauma basi wawaambie FIFA wabadilishe kanuni,mchezaji asiye na rangi ya hapo asiruhusiwe kucheza.Kwanza niwapongeze france kwa kuonyesha si wabaguzi ndiyo maana hawakuangalia rangi bali uraia kwenye kuita wachezaji national team.Halafu watu wengi ubaguzi hawauju..hao tunaowaita wabaguzi wangeamua kufanya ubaguzi hao akina pogba wasingekua hata wachezaji wangekuwa watoto wa mitaani tu...Kwenye hizo academy za michezo wasingeingia wangeishia kuwaona watoto wa kizungu wakicheza kwenye hizo academy.Mbaguzi ni bora timu yake iwe ya mwisho kuliko aite mtu mweusi kwenye kikosi.Mbaguzi ni bora kampuni ianguke kuliko aajiri mweusi mwenye ujuzi.
Mtu kama anakupa opportunity huwezi kumweka kwenye kundi la ubaguzi.
Haya mambo ya kusema sijui wasizuie wahamiaji kutoka africa ni upumbavu.Kila nchi inalinda inalinda mipaka yake,watu lazima waingie kwa kufuata utaratibu sio kujiingilia tu.Tanzania kila siku inakamata waethiopia wakiwa njiani kwenda south na kuwafunga jela, lakini hatujiweki kwenye kundi la ubaguzi.Ila nchi za ulaya zikilinda mipaka yake tunawaita wabaguzi..watu wanaingia kwa maelfu eti waachwe kisa timu zao zina weusi...huu ni uwendawazimu
lakin hata waarabu pia tunalamika kuwa wabaguzi kwetu pia wayahudi tunasema ni wabaguzi sisi waaafrika kila mtu mweupe tunamlalamikia ni mbaguzi
Miafrika ndivyo tulivyoSisi tunajibagua wenyewe tuna tabia za kitahira mno ikiwemo ulalamishi.Angalia U.S.A weusi tabia zao wanavyobehave na angalia weupe wanavyobehave leo hii jitu linaandika proposal ya kuanzisha kituo cha watoto yatima na watoto wa mitaani likiwa limekondeana lipe miaka miwili utakuta limejilimbikizia mali za ma donors ambazo zilitumwa kusaidia hao watoto yatima.LAZIMA IFIKE POINT TUJIULIZE WENYEWE KWA NINI TUBAGULIWE KULIKO KUSHUPALIA KULALAMIKA TU.NI RACE IMEJAA KILA AINA YA USHENZI KAMA HUAMINI NENDA ANZA KUFUATILIA.
tumejaa lawama tu ht umaskini tulionao sasa tunalaumu wazungu waliotutawala wakati kuna nchi nyingi duniani zilitawaliwa km sisi lakin zmepiga hatua, angalia africa kusini walipoata uhuru weusi wakashika madaraka nchi imebaki palepale, hata wale weusi wenzetu waliojaaliwa rasilimali za mafuta kama arabs hawako km qatar saudi ama UAE badala yake na wao wako busy kulalama, tunalalamika kuibiwa rasilimali wakati sheria tunatunga wenyew mikataba inasainiwa na maraisi wetu, something is wrong with us for sureHii ngozi nyeusi bwana, sijui ni nani aliyeturoga...kila siku tunawatupia lawama watu weupe mara ohh waguzi mara sijui nini!! Yani mwafrika hata aende university lakini kichwani zero kabisa labda wachache tu walioishi na weupe wakafunguka akili.
Tunabaguliwa kwa ajili ya rangi yetu si kwa mapungufu yetu.Sisi tunajibagua wenyewe tuna tabia za kitahira mno ikiwemo ulalamishi.Angalia U.S.A weusi tabia zao wanavyobehave na angalia weupe wanavyobehave leo hii jitu linaandika proposal ya kuanzisha kituo cha watoto yatima na watoto wa mitaani likiwa limekondeana lipe miaka miwili utakuta limejilimbikizia mali za ma donors ambazo zilitumwa kusaidia hao watoto yatima.LAZIMA IFIKE POINT TUJIULIZE WENYEWE KWA NINI TUBAGULIWE KULIKO KUSHUPALIA KULALAMIKA TU.NI RACE IMEJAA KILA AINA YA USHENZI KAMA HUAMINI NENDA ANZA KUFUATILIA.
Kwa taarifa yako wanaogopa tabia za weusi wala sio rangi ya ngozi yako.Tunabaguliwa kwa ajili ya rangi yetu si kwa mapungufu yetu.
Mwanadamu ana tabia ile ile kote ukienda. Awe mweusi au mwekundu. Tunateswa na historia yetu. Ndiyo maana unaitwa ubaguzi wa rangi. Mfano ni India. Unajua hili. Kule kadiri unavyokuwa mweusi ndivyo unabaguliwa. wacheza mpira wenye pesa ulaya walio weusi bado wanabaguliwa.Kwa taarifa yako wanaogopa tabia za weusi wala sio rangi ya ngozi yako.
punguza kutazama media za wazungu..Afrika au mtu mweusi ni mabox hatujielewi ndo maana tumekuja kutawaliwa picha za ngono ni sanaa kwao wenzenu wanazitumia kama source of income huku ngono source of HIV weusi kutwa kupigana risasi huko U.S.A nakujiita niga ndo hao wameleta tabia za kihuni duniani angalia wakina 2Pac wameendekeza usela ma.vi mpaka wakafa wangali wadogo acha kujitetea Mijitu mieusi sio yakuyapa Garantee kwenye jambo lolote lile.Hii race imeumbwa kuwa mfuasi wa mtu mweupe ndo maana hatuna jipya kila kitu mzungu ni mgunduzi mweusi yupo duniani kufanya uharibifu vya alivyogundua mweupe.Mi mwenyewe mweusi lakini sina sababu ya kujitetea kuwa mi ni bora kuliko weupe.
Afrika iliishindia Ufaransa kombe la Dunia , na Ulaya inafaa kusitisha ubaguzi dhidi ya wahamiaji kulingana na rais wa Venezuela Nicolas Maduro.
Akizungumza katika mji mkuu wa Caracas, chombo cha habari cha kitaifa kilimnukuu akisema.
Paul Pogba asherehekea na wenzake baada ya kufunga bao katika kombe la dunia
''Timu ya Ufaransa ilishinda ijapokuwa ilikuwa kama ya Afrika .
Hahahaha
Ukweli ni kwamba Afrika ilishinda-wahamiaji wa Afrika waliowasili nchini Ufaransa, natumai Ulaya itapokea ujumbe huo''.
''Ulaya haifai kuwabagua Waafrika, hakuna ubaguzi dhidi ya wahamiaji. Ufaransa iliishinda Croatia 4-2''.
Mwaka 2016, mwaka mmoja baada ya shambulio baya la kigaidi, mchezaji wa zamani wa Ufaransa Louis Saha alisema kuwa Ufaransa ingali nyuma ya mataifa mengine katika kukabiliana na ugaidi.
Ni mara ya pili Ufaransa imejishindia taji la kombe la dunia. Kabla ya kujishindia taji la 1998 kiongozi wa mrengo wa kulia Jean-Marie Le Pen alikuwa amewakosoa baadhi ya wachezaji wake akiwemo Zinedine Zidane ambaye ana mizizi ya Algeria.
Alikuwa amesema kuwa wengi wao walikuwa wageni ambao walikuwa hawaimbi wimbo wa taifa kabla ya mechi.
Kwa upande wangu:
Hivi kwa mfano france isingechukua ubingwa hizi kelele zingekuwepo?
Bado naona ngozi nyeupe hii kitu imewauma sana naona wao ndo wanafanya ubaguzi na kauli zake za kitoto.
Sii mara ya kwanza kwa ufaransa kuonyesha ubaguzi nakumbuka mwaka 2010 kule afrika ya kusini yalizuka maneno mabaya sana dhibi ya wachezaji wenye asili ya kiafrika baada ya kuchemsha
Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hichi..!!Afrika au mtu mweusi ni mabox hatujielewi ndo maana tumekuja kutawaliwa picha za ngono ni sanaa kwao wenzenu wanazitumia kama source of income huku ngono source of HIV weusi kutwa kupigana risasi huko U.S.A nakujiita niga ndo hao wameleta tabia za kihuni duniani angalia wakina 2Pac wameendekeza usela ma.vi mpaka wakafa wangali wadogo acha kujitetea Mijitu mieusi sio yakuyapa Garantee kwenye jambo lolote lile.Hii race imeumbwa kuwa mfuasi wa mtu mweupe ndo maana hatuna jipya kila kitu mzungu ni mgunduzi mweusi yupo duniani kufanya uharibifu vya alivyogundua mweupe.Mi mwenyewe mweusi lakini sina sababu ya kujitetea kuwa mi ni bora kuliko weupe.
Miafrika haipendi kuambiwa ukweli hata kama yananuka ma.vi yanataka yaambiwe yananukia pafyumuKumbe wewe ni mpumbavu kiasi hichi..!!
Hakika lisamehewe tumbo lililokuzaa.