Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Raisi Obama amejikuta katika masihara au wakati mgumu pale alipoambiwa na kijana mwenye wivu na mwenye nacho asimguse rafiki yake wa kike. Hili limetokea katika kituo cha kupigia kura kule Chicago. Obama alikuwa akipiga kura pembeni ya msichana huyo. Hata hivyo Obama alimkumbatia msichana huyo wa asili ya Afrika kabla ya kuondoka.
Obama alipata wakati mgumu hasa alipokuwa anatafakari mwanadada huyo atamjibu nini Boy friend wake mwisho wa siku.
Source: BBC, Independent
Obama alipata wakati mgumu hasa alipokuwa anatafakari mwanadada huyo atamjibu nini Boy friend wake mwisho wa siku.
Source: BBC, Independent