Rais obama azomewa.

ZeMarcopolo,
Maelezo yako yanaleta utata mkubwa kwangu.

Eti uhai unaanzia wiki ya 12 ya mimba?

Sasa mimba ni nini?

Hizo wiki 11 za kwanza huwa ni nini?
Exaud, Hayo sio mawazo yangu mimi, ndio maana nimesema medically accepted. Ni mjadala mrefu wa kifalsafa, na kama unavyojua maswali ya kifalsafa huwa hayani jibu moja. The dominant school of thought ndio imefikia conclusion hiyo ambayo wanaisupport na fact kuwa maisha huisha pale ubongo unapoacha kufanya kazi so huanza pia pale ubongo unapoanza kufanya kazi. Kutokana na nature ya mjadala wenyewe hatuwezi kuwa na jibu moja la ndio/hapana.
 
I have been watching this documentary "Obama Deception".. (sijamaliza actually..naenda nayo taratibu), lakini its very clear si wapiga kura waTz ndio huwa wanalack commonsense..even waamerika are not better than our gullible masses..

Hussein Obama ni kibaraka wa kawaida ambaye hatokaa aseme mawazo yake hata kama anaona mambo yanaenda kombo.. suala la utoaji mimba na same sex marriage ukiunganisha na nwo..what do you get?
 


Medically accepted...?
Naomba source nami nielimike.
 

Mkuu,
Yaani hiyo ndiyo itikadi ya chama chao. Ushetani mtupu.
 
If not important, why are you responding?
Leave the thread to those who feel that they have something to contribute.

Exaud you are right. Some people do not know the importance of information. Being informed is as necessary as feeding, and there is no irrelevant information in this globalised world.
 
sio wote wameingiza mimba kwa kujitakia wengine ni kubakwa wengine ni mapenzi ya kulazimishana katika ndoa au nje ya ndoa na mambo kama hayo kwahiyo mtu akiamua kutoa mimba tuheshimu uhuru na haki yake kama mwanadamu

SHY DARLING HATA WEWE???
 

Hapo nilipo highlight pamenikuna sana.... hii huduma bongo ipo kweli????
 
kuhusu kutoa mimba,sio vizuri kwani hata wakati mtu anapoipata anakuwa aware na anachokifanya kuwa kitapelekea kupata mimba,kwa jinsi hiyo ni kwamba mtu anakuwa ameridhia kupata mimba,ni very rare cases ambapo mtu anapata mimba bila matarajio kama vile mtu anakuwa amebakwa na cases nyingine nyingi kama hizo;lakini in most cases,people are aware of the results of having unsafe sex, so in my opinion they should not abort. sikubaliani kabisa na hii concerpt ya watu kutoa mimba while theres a lot of protection out there that people can use to avoid geting pregnant.
 
sio wote wameingiza mimba kwa kujitakia wengine ni kubakwa wengine ni mapenzi ya kulazimishana katika ndoa au nje ya ndoa na mambo kama hayo kwahiyo mtu akiamua kutoa mimba tuheshimu uhuru na haki yake kama mwanadamu

SHY DARLING HATA WEWE???

Darling

Dunia inabadilika na jamii zinabadilika kwahiyo lazima tukubali hivyo lazima tukubali uhuru wa mtu anapoamua kuchukuwa uamuzi wowote hata dhidi yake mwenyewe kama havunji sheria za sehemu husika basi yuko huru kutenda hilo atendalo hata kutoa mimba kama anachokifanya kinafaida kwake na kwa wengine bila kuadhiri wengine pia yuko huru kufanya hivyo

Sasa unapenda hawa watoto wamitaani ? labda mimba zingetolewa tusingeona kadhaa hizi mitaani ( ni wazazi wamekimbia watoto wao , wameshindw akuwalea wengi wao ) je wangetoa mimba ingekuwaje ??
 


Unadhani kutenda dhambi ya kuua ndio suluhisho! Au basi unavyosema ni sawa na kusema watoto wa mitaani nao watokomezwe! Tusiende huko jamani! Mimba tayari ni kiumbe kukitoa ni sawasawa na kuuwa mtu aliye hai. Zuia isiingie kuliko ikiingie uiuwe!
 
Unadhani kutenda dhambi ya kuua ndio suluhisho! Au basi unavyosema ni sawa na kusema watoto wa mitaani nao watokomezwe! Tusiende huko jamani! Mimba tayari ni kiumbe kukitoa ni sawasawa na kuuwa mtu aliye hai. Zuia isiingie kuliko ikiingie uiuwe!

sasa mkuu si imeisha ingia? yaani hapa anaongelewa mtu ambaye tayali imeingia, na hana mbele wala nyuma, pa kuanzia kumlea huyo mtoto!

Yaani kwa lugha nyingine, zile njia za kuizuia zimeisha shindikana.. kwahiyo amzae amtupe jalalani ama aregulate menstrual cycle yake irudi kuwa normal?

Afu tusiangalie upande mmoja wa kumtaka aliye ibeba asiitoe, wakati sisi jamii ndo wakwanza kumnyanyapaa kwa kumuona muhuni, hafai, hata shule tunamfukuza, Hata akitokea mwanaume akampenda nduguze kijana watamuweka kiti moto kwanini anataka oa mtu ambaye alibeba mimba, yaani mabaya yote humuandama huyu aliye beba mimba hiyo.. vipi kwa upande huo?

Kwa kweli hili swala ni pana, inabidi lisipingwe moja kwa moja kwa kuangalia upande mmoja!

Maoni yangu liruhusiwe with exceptions!
 
hivyo huyo bwana kazomewa kwa kutokuwa na msimamo juu la suala la utoaji mimba au kitu kingine? na je ni lazima yeye atoe msimamo kama nani? au ye aweza kuzuia kile wengine walishindwa? ee! labda ndo maana kawa boooed! yote sawaa kuzomewaa ni kawaida tu! kibongobongo liulize chama kubwa wanajua adha yake.
 
Mimi nafikiri swala hili au maamuzi kuhusu utoaji wa mimba waachiwe akina mama wenyewe kwani wao ndio wanayoijua miili yao.
Kuhusiana na mimba kwa wasichana ambao ni bado wadogo kiumri, maamuzi yatolewe na wazazi (kama wapo) au ......
 
Ni haki yao ya msingi kumzomea raisi wao (Obama) kwani ni sehemu ya democrasia yao iitwayo ya kweli! by Daluga Daluga
 

Hii sikubaliani nayo, Notre Dame wameonesha kiwango cha juu zaidi kwa kumualika na kumtunukia CIC degree ya heshima, kama uliangalia vizuri na nafikiri hata mtoa mada huenda hakuangali ile shughuli live ni kwamba, heckler mmoja tena si mwanafunzi bali ni katika wale maracist wanaotumiwa na GOP kupiga kelele na wanafunzi wote wakaanza kuimba "We are ND" kumcounter attack yule heckler.

Kwa kifupi Obama alipokelewa kwa shangwe kubwa sana ukiacha wavamizi wa ambao si wanachuo kutumia mwanya huo kupata media attention.

Na sherehe yote ukiangalia iliwenda kama ilivyopangwa na Obama hakuzomewa, Hii ni GOP machine inataka kuendeleza divisive politics kwani sasa hivi Obama kawa mwiba kwao kwa jinsi anavyokubalika
 

HOFSTEDE,
Kuangalia tukio LIVE naona kulikufanya usiweze kufikiri vizuri.
Kushangiliwa na kuzomewa , kiuchmbuzi wa kisaikolojia vyote vyaweza kubeba maana moja ndani ya dhamiri za watu.Macho yanaweza kudanganyika lakini kama wewe ni great thinker, unapaswa kwenda zaidi ya uoni wa macho.

Kukubalika kwa Obama sasa hivi kuko chini ya kiwango alichokuwa nacho mwisoni mwa kampeni zake na wakati wa kuapishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…