Ushamsikia prezidaa akitukana?
..hii peleka kule kwenye upupu section,then Nyani ngabu & the truth watakusaidia na material mengine kama hayo uliyopost!
Huyu achana naye! Atatupotezea muda wakati tuko busy na mijadala yenye maana! Tena hata my friend Nyani hawezi kukaa na kuongea naye huyu, labda the Truth....