Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Rais wa Rwanda Paul Kagame amepotoka kwa kusema Strive Masiyiwa ambaye ni mfanyi biashara kutoka Zimbabwe ashirikiane na Rais mojawapo wa Afrika ili Waafrika waweze kupata vaccine itakapopatikana ya Covid-19.
Je, PK anafahamu jinsi Masiyiwa alivyojitajirisha kwa dhuluma? Je, anafahamu kwa undani S masiyiwa jinsi ambavyo anawakandamiza Zimbabweans? Je, anafahamu jinsi S Masiyiwa jinsi alivyo unethical kwa kila shughuli anazofanya?
S Masiyiwa ni mfanyi biashara ambaye anatakiwa kwenda jela kutokana na bishara zake zinazowakandamiza Zimbabweans.
Kagame calls for African readiness to acquire Covid-19 vaccine
Je, PK anafahamu jinsi Masiyiwa alivyojitajirisha kwa dhuluma? Je, anafahamu kwa undani S masiyiwa jinsi ambavyo anawakandamiza Zimbabweans? Je, anafahamu jinsi S Masiyiwa jinsi alivyo unethical kwa kila shughuli anazofanya?
S Masiyiwa ni mfanyi biashara ambaye anatakiwa kwenda jela kutokana na bishara zake zinazowakandamiza Zimbabweans.
Kagame calls for African readiness to acquire Covid-19 vaccine