Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
" Hawa wanataja magari na hawa farasi, bali sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu" Zab.20:7Sasa umuhimu wa hiyo chanjo nnn kama.bado unaambukizwa hali inakuwa tete mpaka kulazwa kabisa?
Duh, afadhali ni uamuzi wa mtu kuchanja au kutochanja!
Suijakupata vzr kwenye habari kamili, tafadhali rudia kwenye muhtasari wake.Huyo Rais tunajua anatumika na wenye Corona;Ana kiherehere kweli na ugonjwa wa kufikirika.
Chanjo ya nini?
Unaambia inasaidia ukipata Corona inapunguza hatar ya kifo.
Sasa mbona kuna idadi kubwa ya watu waliokuwa na Corona wakapona bila kutumia Chanjo
Majibu hakuna
Nenda kachanje tu
Jamaa huyu anajali sana biashara zake kuliko waswahili wenzake - upendelea sana kujikomba komba kwa wazungu aibu tupu ukilinganisha na watangulizi wake!Huyo Rais tunajua anatumika na wenye Corona;Ana kiherehere kweli na ugonjwa wa kufikirika.
Kwahiyo bora Magufuli's Model siyo?Jamaa huyu anajali sana biashara zake kuliko waswahili wenzake - upendelea sana kujikomba komba kwa wazungu aibu tupu ukilinganisha na watangulizi wake!
Sijui kwa nini Dunia hashitukii kwa nini most covid-19 variants utokea Afrika Kusini - ambako some Big Pharma Companies zinazo jihusisha na tafiti za chanjo za mRNA na Vector type wana maabara zao za utafiti - ndio maana tangu mwanzo Afrika kusini na baadae Kenya ndio yalikuwa Mataifa ya kwanza barani Afrika kufanyiwa majaribio ya Chanjo baada ya Nyani huko Uingereza kuhusishwa kwenye majaribio ya phase ya kwanza - who can trust kinacho endelea kwenye tafiti zao za virusi ambavyo watafiti wa kisayansi wana uwezo mkubwa wa kuvi-manipulate genetically na kuzalisha virusi ambavyo ni more virulent na kuambukiza kwa kasi - fatilieni type za covid-19 variant zilizo kuwa reported kwa mara ya kwanza kwamba zimegundulika Afrika Kusini - why? Je,ni mbinu za kupigia debe Chanjo kwa kutisha watu na variant mpya ya virus ili chanjo zao ziuzike kirahisi!! Kuna kitu si bure
Ramaphosa msimamo wake ni kuwa hakuna sababu za kisayansi kuzuia watu kwenda na kutoka Afrika Kusini, nachelea hoja yake isijekuwa ni mtego wa watu kwenda kuchukuwa C-19 na kusambaza kwenye nchi zao ili biashara ya chanjo, barakoa, zinc, azuma, azithromicine, pain killers, sanitizers nk ziendelee kushamiri. Hawa ndiyo viongozi Afrika ilionao na inaotegemea waifanye bara - Superpower..Kwahiyo bora Magufuli's Model siyo?
Hata mimi naiona Afrika Kusini kama maabara na lango kuu la Covid-19 Afrika.
Ramaphosa anaelekea ana roho ya Kikaburu, Mandela angekuwa hai hasingekubaliana naye hata kidogo jinsi anavyoendesha nchi iliyokandamizwa na weupe kwa zaidi ya miaka 46, 1948 - 1994.
View attachment 2049540
Taswira kwa hisani ya google.