johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ruto ametuwakilishaWetu wanamkaribisha lini
Hustler πΌHarambeeeee NYAYOOOOO!!
Mbona CHAWA wanatuambia kwamba ndo alama ya uongozi Barani Africa?Enzi za Nyerere huu Mwaliko ulikuwa ni wa Tanzania ila hizi zama za Utandawazi tunaalikwa kijumuiya zaidi
Tuzidi kumuombea Rais Ruto akatuwakilishe vizuri na zikitokea fursa za kupeleka manjagu au Wajeda kama Haiti atutonye jirani zake
Nawatakieni Sabato Njema ππ
Huo mkutano kaandaa nani?? Wahudhuriaji ni akina nani??? Mkutano umeandaliwa na hao hao wamagharibi waendesha vita. Kenya inajulikana ni kibaraka wai since Uhuru wao. Juzi Marekani kampandisha cheo Kenya kuwa None Nato allie. Lengo ni nini??Enzi za Nyerere huu Mwaliko ulikuwa ni wa Tanzania ila hizi zama za Utandawazi tunaalikwa kijumuiya zaidi
Tuzidi kumuombea Rais Ruto akatuwakilishe vizuri na zikitokea fursa za kupeleka manjagu au Wajeda kama Haiti atutonye jirani zake
Nawatakieni Sabato Njema ππ
EA πAnaenda kuiwakilisha Kenya au EA?
Kwako Lucas Mwashambwa hiki kijembe kinakuhusuEnzi za Nyerere huu Mwaliko ulikuwa ni wa Tanzania ila hizi zama za Utandawazi tunaalikwa kijumuiya zaidi
Tuzidi kumuombea Rais Ruto akatuwakilishe vizuri na zikitokea fursa za kupeleka manjagu au Wajeda kama Haiti atutonye jirani zake
Nawatakieni Sabato Njema ππ
Urojo anaeula ni mamako we mbwa usiye na hayaRuto Yuko vizuri na mtu wa maamuzi.sasa wangemwalika yule mla ulojo angeshauri uamuzi Gani huko kwenye barazala usalama?angekuwa anawaambia tu mkalitazame.wameona huyu wakualika kwenye ufunguzi wa albamu za mziki