Ni suala la muda tu Samia ataenda kuwakilisha taifa letu kwenye msiba huko Nairobi.Rais wa Kenya na Naibu wake wameanza mkakakti wa kuwanyang'anya mashamba makubwa kwa waliyojimilikisha kipindi cha Rais wa kwanza, wa pili, wa tatu na wanne...
Msiba wa nani tena? Nani kafariki?Ni suala la muda tu Samia ataenda kuwakilisha taifa letu kwenye msiba huko Nairobi.
Emu fafanua mimi sijaelewa umesemajeAme2abana kwenye kodi familia ya Kenyatta hadi kwa mara kwanza mama yake Kenyatta mama Ngina kaita vyombo vya habari kulalamika familia yao kuandamwa na Ruto
Acha ubwege,na haitotokea. Yule siyo Jiwe.Ni suala la muda tu Samia ataenda kuwakilisha taifa letu kwenye msiba huko Nairobi.