johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baada ya kumaliza Kikao cha Pamoja EAC na SADC jijini DSM Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Rais Ruto ameongea na Mabalozi wa nchi zote duniani na kuwaelezea yanayoendelea Congo
Ruto amesema Hali ya Congo ni Tete sana
Source: Citizen TV