Rais Ruto aitisha kikao cha Mabalozi Ikulu ya Kenya, awaambia hali ya Congo ni tete sana

Rais Ruto aitisha kikao cha Mabalozi Ikulu ya Kenya, awaambia hali ya Congo ni tete sana

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716

Baada ya kumaliza Kikao cha Pamoja EAC na SADC jijini DSM Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Rais Ruto ameongea na Mabalozi wa nchi zote duniani na kuwaelezea yanayoendelea Congo

Ruto amesema Hali ya Congo ni Tete sana

Source: Citizen TV
 
Back
Top Bottom