Rais Ruto aorodheshwa kutoa ushahidi Mahakamani agoma na atuma Ujumbe kuwa Yeye ni Rais asihusishwe na mambo ya Kesi!

Rais Ruto aorodheshwa kutoa ushahidi Mahakamani agoma na atuma Ujumbe kuwa Yeye ni Rais asihusishwe na mambo ya Kesi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wakati jopo la Mawakili wa Gachagua likimtaka Rais Ruto afike Mahakamani yeye Binafsi kutoa ufafanuzi wa mambo kadha wa kadha Rais Ruto amekataa

Ruto amesema kwa mujibu wa Katiba ya Kenya Rais hawezi kuitwa Mahakamani kutoa ushahidi

Majaji Watatu wataamua kama Ruto afike Mahakamani ama la

Citizen TV
 
Bora CCM kuliko hivi vituko vya Wanasheria wa Gachagua ni kama wanafurahia kisirisiri anguko la Gachagua
 
Back
Top Bottom