johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Ruto amewaambia Watumishi wa Umma wajiandae kisaikolojia kutimiza matakwa ya Wananchi ambayo ni kupunguza Bajeti ya Serikali
Ruto anesema hatua ya kwanza ni kupunguza Matumizi ya Serikali kila mahali iwe kwenye Magari, Posho nk
Source: Citizen Tv
Ruto anesema hatua ya kwanza ni kupunguza Matumizi ya Serikali kila mahali iwe kwenye Magari, Posho nk
Source: Citizen Tv