ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Piki piki za ccm ulizowapa boda boda nazo wazikatae?Wapiga kura huu ndio ujumbe wenu kutoka Kwa Rais kipenzi chenu ambae anawajali
View: https://twitter.com/ProudlyCCM/status/1747871951412973749?t=GwhvfHiEXG5r_mEqo4Wzuw&s=19
Wewe mwenye unajua kabisa mwenyekiti anadanganya.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Mimi nipo na Rais Samia mpaka dakika ya Mwisho. namuunga mkono kwa kila kitu .kura yangu ya ndio ni kwake tu .Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.mimi ni nani mpaka niende kinyume na mpango wa Mungu. Ni kichaa tu na mwendawazimu anayeweza kumnyima kura ya ndio Rais Samia.
Mpaka siku utakapo pata akili sasahivi acha tukusameheMsema kweli ni mpenzi wa Mungu.Mimi nipo na Rais Samia mpaka dakika ya Mwisho. namuunga mkono kwa kila kitu .kura yangu ya ndio ni kwake tu .Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.mimi ni nani mpaka niende kinyume na mpango wa Mungu. Ni kichaa tu na mwendawazimu anayeweza kumnyima kura ya ndio Rais Samia.
Atagombea?Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Mimi nipo na Rais Samia mpaka dakika ya Mwisho. namuunga mkono kwa kila kitu .kura yangu ya ndio ni kwake tu .Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe.mimi ni nani mpaka niende kinyume na mpango wa Mungu. Ni kichaa tu na mwendawazimu anayeweza kumnyima kura ya ndio Rais Samia.
Takrima haiepukiki ndani ya CCM kwani huu ndiyo utamaduni waoWapiga kura huu ndio ujumbe wenu kutoka Kwa Rais kipenzi chenu ambae anawajali
View: https://twitter.com/ProudlyCCM/status/1747871951412973749?t=GwhvfHiEXG5r_mEqo4Wzuw&s=19
Pikipiki na janga kipi Bora?Piki piki za ccm ulizowapa boda boda nazo wazikatae?
Utagomgea weweAtagombea?
Ndo umeandika nn?Utagomgea wewe