BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ACHANGIA SHILINGI MILIONI KUMI MFUKO WA YATIMA NA WAJANE MKOA WA DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amechangia shilingi milioni kumi katika mfuko wa kuwahudumia mayatima na wajane mkoa wa Dodoma.
Mchango wake huo umewasilishwa kwa niaba yake na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika dua maalum, mashindsno ya Qur'an na iftari iliyoandaliwa Jumapili 03 April 2022 katika ukumbi wa PSSSF Jijini Dodoma.
Ikiwa ni kuadhimisha mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tokea kuweko madarakani.
Pamoja na mchango huo amekabidhi chakula na mahitaji vituo vya watoto yatima na wajane katika wilaya za mkoa wa Dodoma.
#RamadhanMubarak
#KaziIendelee
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amechangia shilingi milioni kumi katika mfuko wa kuwahudumia mayatima na wajane mkoa wa Dodoma.
Mchango wake huo umewasilishwa kwa niaba yake na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika dua maalum, mashindsno ya Qur'an na iftari iliyoandaliwa Jumapili 03 April 2022 katika ukumbi wa PSSSF Jijini Dodoma.
Ikiwa ni kuadhimisha mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan tokea kuweko madarakani.
Pamoja na mchango huo amekabidhi chakula na mahitaji vituo vya watoto yatima na wajane katika wilaya za mkoa wa Dodoma.
#RamadhanMubarak
#KaziIendelee