Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 174
- 301
Leo katika pita zangu huko kwenye ESS, Daaaah, ni hatari saana. Mabenki yanashindana tu kupandisha riba za mikopo ambayo ni kimbilio la watumishi wavuja Jasho wa nchi hii.
CRDB, NMB, NBC, nk,riba na mikopo yao imekuwa MIKOPO KAUSHA DAMU. Mlio karibu na Rais Samia jaribuni kumstua kuwa hali ni mbaya, BOT chini ya Mwigulu ni blind watchers.
CRDB, NMB, NBC, nk,riba na mikopo yao imekuwa MIKOPO KAUSHA DAMU. Mlio karibu na Rais Samia jaribuni kumstua kuwa hali ni mbaya, BOT chini ya Mwigulu ni blind watchers.