Rais Samia afanya mazungumzo na Rais Paul Kagame, wakubaliana kukuza uhusiano

Rais Samia afanya mazungumzo na Rais Paul Kagame, wakubaliana kukuza uhusiano

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mazungumzo kati yake na Rais Paul Kagame yamejikita zaidi katika kuimarisha na kukuza uhusiano wa kiuchumi.

Amesema, "Kubwa tulilokubaliana ni kukuza ushirikiano zaidi. Tanzania na Rwanda tuko kwenye Biashara na Uwekezaji, bado tuna fursa nyingi tunazoweza kutumia".

Ameongeza, "Leo tumesaini makubaliano kwamba tunaendelea kuweka uhusiano mkubwa kwenye matumizi ya TEHAMA. Rwanda mpo mbele yetu na tupo tayari kuja kujifunza kwenu".

Rais Paul Kagame amesema Taifa hilo lipo tayari kufanya kazi kwa karibu na Tanzania ili kuharakisha kufufua Mataifa hayo na Ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla kufuatia mlipuko wa janga la COVID-19

Kagame amesema changamoto zinazoukabili Ukanda wa Afrika Mashariki zinaweza kutatuliwa kwa mshikamano na fursa zinazonufaisha pande zote

Rais Samia Suluhu Hassan yupo Nchini Rwanda kwa ziara ya siku mbili

FCA6BC87-FC0C-4A44-B4D9-B472A3A0A14A.jpeg
0DE77C98-D5EB-4DEA-930B-67C5553DDF18.jpeg
A844B685-CCCE-4796-8011-E990B84FF70F.jpeg
56083EED-8340-439F-8226-31408A537F94.jpeg
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mazungumzo kati yake na Rais Paul Kagame yamejikita zaidi katika kuimarisha na kukuza uhusiano wa kiuchumi

Amesema, "Kubwa tulilokubaliana ni kukuza ushirikiano zaidi. Tanzania na Rwanda tuko kwenye Biashara na Uwekezaji, bado tuna fursa nyingi tunazoweza kutumia"

Ameongeza, "Leo tumesaini makubaliano kwamba tunaendelea kuweka uhusiano mkubwa kwenye matumizi ya TEHAMA. Rwanda mpo mbele yetu na tupo tayari kuja kujifunza kwenu"

View attachment 1877354View attachment 1877355View attachment 1877356View attachment 1877357
Hapa tuna la kujifunza.

Rwanda waliwekeza kwenye IT mpaka leo tunaenda kujifunza kwao, sisi tumekaa tunajenga reli ya kwenda chato!!
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mazungumzo kati yake na Rais Paul Kagame yamejikita zaidi katika kuimarisha na kukuza uhusiano wa kiuchumi.

Amesema, "Kubwa tulilokubaliana ni kukuza ushirikiano zaidi. Tanzania na Rwanda tuko kwenye Biashara na Uwekezaji, bado tuna fursa nyingi tunazoweza kutumia".

Ameongeza, "Leo tumesaini makubaliano kwamba tunaendelea kuweka uhusiano mkubwa kwenye matumizi ya TEHAMA. Rwanda mpo mbele yetu na tupo tayari kuja kujifunza kwenu".


anaemvalisha mama ajitokeze , sio kwa mapigo haya
 
Yaani Tz tukajifunze tehama Rwanda! Nimeamini elimu ya bongo haithaminiwi.

Yeye aseme tu kaenda kujifunza namna ya kupambana na upinzani kupitia tehama.
 
Tanzania itatuchukua miaka mingi kujitambua.kweli Rwanda Ni mahala pa kwenda kujifunza.

duu, sasa Rwanda na Tanzania nan anatakiwa kumfundisha mwenzake? Rwanda unajua ipo position ngap kwa Tech hii Afrika?
 
Nje ya mada.Nikiwa nimelewa naona maza ana jicho flani hivi la mahaba ujuwe yaani very soxxxxx and sweet.
 
Kuna vitu sio vya kuzungumza hadharani..

Ni aibu.
 
Back
Top Bottom