Rais Samia afanya mazungumzo na Rais Paul Kagame, wakubaliana kukuza uhusiano

Tanzania itatuchukua miaka mingi kujitambua.kweli Rwanda Ni mahala pa kwenda kujifunza.

..wakati mwingine huwa hawana cha kusema hivyo inabidi waongeze na UONGO.

..Kwa mfano, kuna wakati Waziri Mkuu wa Ethiopia alikuja Tanzania halafu Magufuli akadanganya eti wamekubaliana Ethiopia itaanza kutumia bandari ya Dar Es Salaam.
 
IT sio tu kukaa kwenye computer, mfano rwanda wanatengeneza simu zao wenyewe wanauza ndan ya nchi
Kwani sisi tunashindwa nini kutengeneza simu?
Tatizo ujuzi na uwezo wetu havithaminiwi na wenye mamlaka kwa sababu wanazozijua wao.
 
Kwani sisi tunashindwa nini kutengeneza simu?
Tatizo ujuzi na uwezo wetu havithaminiwi na wenye mamlaka kwa sababu wanazozijua wao.

sasa wewe unachukua engine ya pikipiki, feni ya rejeta alafu unaunda ndege nndo unamaanisha hizi? rwanda wanatengeneza chips from 0 dogo
 
Subiri yaje yamkute yaliyowakuta Uganda. Mwisho ni kudukua simu za watu wake
 
Madikteta wakutane kigali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…