Rais Samia akizindua Kitabu cha Edward Moringe Sokoine (Maisha Na Uongozi Wake) JNICC - Dar, 30/09/2024

Rais Samia akizindua Kitabu cha Edward Moringe Sokoine (Maisha Na Uongozi Wake) JNICC - Dar, 30/09/2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Kitabu cha Edward Moringe Sokoine (Maisha na Uongozi Wake) kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam, leo tarehe 30 Septemba, 2024.

WhatsApp Image 2024-09-30 at 13.34.20_7390f31d.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na wake wa hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
WhatsApp Image 2024-09-30 at 13.34.31_7ef8315e.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Familia ya hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
WhatsApp Image 2024-09-30 at 13.34.35_0d4725cd.jpg

WhatsApp Image 2024-09-30 at 13.34.40_564b09de.jpg

WhatsApp Image 2024-09-30 at 13.34.42_7af8ca74.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Hayati Edward Moringe Sokoine kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
WhatsApp Image 2024-09-30 at 13.50.31_93698d76.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtoto wa hayati Edward Moringe Sokoine, Balozi Joseph Edward Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
 
Huyo mama anatafutiwa tu vitukio aonekane anakubalika.

Binafsi nafikiri Mzee Cleopa Msuya ndio angepewa uzinduzi sababu ni yeye na Sokoine ndio wamewahi kuwa mawaziri wakuu katika vipindi tofauti.
 
Huyo mama anatafutiwa tu vitukio aonekane anakubalika.

Binafsi nafikiri Mzee Cleopa Msuya ndio angepewa uzinduzi sababu ni yeye na Sokoine ndio wamewahi kuwa mawaziri wakuu katika vipindi tofauti.

..Cleopa Msuya amechoka sana kutokana na umri mkubwa.

..hawezi kuzungumza na kuwasilisha mawazo yake kwa ufasaha kutokana na uzee.
 
..Cleopa Msuya amechoka sana kutokana na umri mkubwa.

..hawezi kuzungumza na kuwasilisha mawazo yake kwa ufasaha kutokana na uzee.
Kuna siku nimeona clip YouTube anahojiwa kipindi cha dakika 45 , nadhani ilikuwa mwaka huu.

Naona bado hajapoteza uwezo wake kiuwasilishaji , labda kama kapoteza uwezo wa kusimama kwa muda mrefu.
 
Kuna siku nimeona clip YouTube anahojiwa kipindi cha dakika 45 , nadhani ilikuwa mwaka huu.

Naona bado hajapoteza uwezo wake kiuwasilishaji , labda kama kapoteza uwezo wa kusimama kwa muda mrefu.

..sio kama amepoteza makali yake 100%, but you can see that he is struggling.

..wasaidizi wake wanatakiwa wamuandae vizuri kabla hajazungumza.
 
Je hiki hakitaenda kuzinduliea nje ya nchi pia kama royo tua
 
Ni jambo jema kwa wazalendo na jamii yetu ya wamasai.

Sasa tunaamini wamasai hawatahamishwa kwa nguvu kwenye makazi yao ya asili.
 
Asante sana kwa taarifa hii
Kiukweli nimeipenda wasilisho la Prof. Kabudi haswa pale alipouzungumzia ukatoliki safi wa Edward Sokoine, akiwa na wake zake wote wawili. Kiukweli kweli kabisa kwenye hili la ukatoliki na mke mmoja, tuna kina Sokoine wengi sana miongoni mwetu!. Enzi za Blaza nilishauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Ngoja nitakuja mtafuta lazaro sokoine nibonge naye,muda sana sijamgumiaaa...
Nakumbuka baba yake alimpelekaga masomoni yugoslavia kuchukua elimu

Ova
 
Kwa Sasa hakuna dagaa sokoni, nyama imefikia 15,000 Kwa kilo, hakuna samaki,ukiwapata ni 13,000 tsh.
Hiyo asilimia 128 umeipata wapi?
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akizindua Kitabu cha Edward Moringe Sokoine (Maisha na Uongozi Wake) kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam, leo tarehe 30 Septemba, 2024.

View attachment 3111154
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na wake wa hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
View attachment 3111155
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Familia ya hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
View attachment 3111156
View attachment 3111157
View attachment 3111158
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uzinduzi wa Kitabu cha Hayati Edward Moringe Sokoine kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.
View attachment 3111160
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtoto wa hayati Edward Moringe Sokoine, Balozi Joseph Edward Sokoine kabla ya kuzindua Kitabu kinachohusu Maisha na Uongozi wake katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) leo tarehe 30 Septemba, 2024.


View: https://x.com/iamwangdamin/status/1840733146892935543
 
Namna ya kuwapoza Wamasai, wasahau alitaka kuchukua ardhi yao. Uchaguzi wa mitaa upo karibu
Umenena mkuu..! wame-mess up na wamasai kwa ishu ya ngorongoro wanaleta strategy za kitoto kuwa-please wamasai kumuenzi Sokoine..si wangesubiri mwakani Sokoine day wazindue? halafu kwani Moringe ndio waziri mkuu wa kwanza? kwa nini aanziwe yeye kuandikiwa historia? Yupo Mzee Msuya alikuwa PM kabla ya Moringe, mbona wamemruka..nchi inaongozwa na akili za kitoto kabisa! heshimuni watu..
 
Back
Top Bottom