Rais Samia aliposema huko kwao kunawaka moto wanaparuna watu hatukumuelewa!

Rais Samia aliposema huko kwao kunawaka moto wanaparuna watu hatukumuelewa!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Raisi Samia aliposema huko ndani kwao kunawaka moto hakukaliki kuna zogo Watu walibisha walijua ni ndani ya CHADEMA pekee ndio kunakowaka moto kumbe ni upinzani wote, ushahidi ni kama mlivyomsikia Wakili Mwabukusi, hali kadhalika Mbowe inaonesha upinzani umeshasambaratika hizo kelele zao ni ile hatua ya mwisho ya roho kuuwacha mwili kiarabu wanasema sakratul mauti ni wakati wa kurusha miguu na mayowe kila mmoja ana nena lugha yake!


Screenshot_20231002_132241_X.jpg
 
Raisi Samia aliposema huko ndani kwao kunawaka moto hakukaliki kuna zogo Watu walibisha walijua ni ndani ya CHADEMA pekee ndio kunakowaka moto kumbe ni upinzani wote, ushahidi ni kama mlivyomsikia Wakili Mwabukusi, hali kadhalika Mbowe inaonesha upinzani umeshasambaratika hizo kelele zao ni ile hatua ya mwisho ya roho kuuwacha mwili kiarabu wanasema sakratul mauti ni wakati wa kurusha miguu na mayowe kila mmoja ana nena lugha yake!


View attachment 2771226
Moto mkubwa upo CCM, muda utaongea
 
Moto mkubwa upo CCM, muda utaongea
Moto ulikuwa uchaguzi wa 95 ccm ikapita salama,moto ukawaka 2005 ccm ikaimarika 2015 mpaka lowassa akaenda chadema na kina kingunge ccm ikawa juuu juuu zaidi kwa hapa palipobaki upinzani unarudii nyuma kwa spidi ya kimondo!
 
Raisi Samia aliposema huko ndani kwao kunawaka moto hakukaliki kuna zogo Watu walibisha walijua ni ndani ya CHADEMA pekee ndio kunakowaka moto kumbe ni upinzani wote, ushahidi ni kama mlivyomsikia Wakili Mwabukusi, hali kadhalika Mbowe inaonesha upinzani umeshasambaratika hizo kelele zao ni ile hatua ya mwisho ya roho kuuwacha mwili kiarabu wanasema sakratul mauti ni wakati wa kurusha miguu na mayowe kila mmoja ana nena lugha yake!


View attachment 2771226
[emoji1787][emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tupe samary ya alichokisema
Ccm ipo mpaka shinani chadema ipo taifa ni ndoto miaka mia kuitoa ccm madarakani kwa watu kudai katiba mpya na tume huru kwa kujificha kwa id fake mitandaoni full stop!
 
Raisi Samia aliposema huko ndani kwao kunawaka moto hakukaliki kuna zogo Watu walibisha walijua ni ndani ya CHADEMA pekee ndio kunakowaka moto kumbe ni upinzani wote, ushahidi ni kama mlivyomsikia Wakili Mwabukusi, hali kadhalika Mbowe inaonesha upinzani umeshasambaratika hizo kelele zao ni ile hatua ya mwisho ya roho kuuwacha mwili kiarabu wanasema sakratul mauti ni wakati wa kurusha miguu na mayowe kila mmoja ana nena lugha yake!


View attachment 2771226
NI kweli yametokea!
 
Back
Top Bottom