Rais Samia aliwapa uhuru wote na platform ya kutangaza sera zao na kujinadi baada ya kufungiwa na Hayati Magufuli

Rais Samia aliwapa uhuru wote na platform ya kutangaza sera zao na kujinadi baada ya kufungiwa na Hayati Magufuli

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
 
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
Uhuru wa kufanya shughuli yoyte unatolewa na katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo, na si mtu binafsi. Hivi nyinyi akili zitawakaa lini?
 
kosa hilo wanataka kufanya ccm kwa Msigwa,walikwepe sana.
 
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
Kosa" lingine la Samia ni kuacha mikutano ya vyama vya upinzani iendelee kwa na kuruhusu uhuru wa kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba na sheria ya nchi. Vitu hivi viwili mtangulizi wake aliviogopa kuliko tunavyo ogopa ukoma.

Lakini uvumilivu wake wa kukosolewa na matusi ndiyo unaomfanya awe Rais bora kabisa. Maana yule kichaa angekuwa hai sijui leo Tanzania ingekuwa nchi ya namna gani
 
Uhuru wa kufanya shughuli yoyte unatolewa na katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo, na si mtu binafsi. Hivi nyinyi akili zitawakaa lini?
Mlimfanya nini Magufuli alipowanyima?
 
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
Huyo uliyewapa uhuru siyo Rais. Bali ni jitu ambalo halijulikani lilitoka wapi na linakwenda wapi
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
Huyo aliyewapa uhuru siyo Rais. Hakuna Rais anafanania hivyo. Ni jitu tu ambalo halijulikani lilitoka wapi na linakwenda wapi
 
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
Sijakuelewa Rais anaruhusu au katiba inaruhusu? Uchawa usio na uelewa. Unapoandika tafakari sana. Hata unayemsifia anafika anashangaa uelewa wako
 
labda alikuwa hana jinsi na haikuwa hiari, kila mapinduzi yana masharti yake …
 
Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.

Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.

Sasa malipo yake ikawa kumtukana kila wapatapo jukwaa as if alifanya kosa kuwarudisha na kuwafungulia siasa japo ni katiba lakini mbona Hayati Magufuli aliwafungia na wakabaki hohehale na kutukana hawawezi mana wangeuawa.

Sasa wananchi wakawaona hawana maama. Kama.wangekuwa na busara wangekuwa wanaongea siasa zao siyo kuwinda matukio na kutukana tena matusi ya nguoni.

Mpaka wakaamua kumtumia mange kimambi kumtukana mama mara oo eti ni msagaji mara ooo sijui nin.

Upinzani wamejiua wenyewe kwa mikono yao. Watanzania siyo wajinga kabisa wameamua kuwasusa
Fafanua zaidi MANGE KIMAMBI ALISEMAJE??😅😅
 
Back
Top Bottom