Rais Samia ameagiza Wizara ya Kilimo kuisimamia kwa ukaribu Sekta ya Ushirika

Rais Samia ameagiza Wizara ya Kilimo kuisimamia kwa ukaribu Sekta ya Ushirika

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameagiza Wizara ya Kilimo kuisimamia kwa ukaribu Sekta ya Ushirika ili uwekezaji unaofanywa na Serikali kwenye sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi uweze kufanywa na Vyama vya Ushirika.

Rais Samia ametoa agizo hilo leo katika kikao na Maafisa Ugani na wanaushirika kilichofanyika Ikulu, Chamwino.

Aidha, Rais Samia amesema Serikali ina dhamira ya kurudisha hadhi ya ushirika hususan ushirika wa mazao hivyo ametaka Ushirika uendeshwe kisasa, uwekezaji ufanywe kitaalam na ukiwa na lengo la kumnufaisha mwanaushirika moja kwa moja.

IMG-20240810-WA0194.jpg
 
Badala ya kumtoa waziri anayehujumu viwanda vya sukari
 
Hivi Mh. Rais anamfahamu Njalu mbunge wa huko simiyu? huyu bwana anafukuza hadi watumishi wa serkali ukiingilia mambo yake yaani atafukuzwa kama mbwa na hakuna wa kukusaidia tena DED, DAS, hadi RAS watakufurusha kama mwivi kwa amri ya huyu mwamba na hilo lishatokea unaenda fia kwenu.
 
Back
Top Bottom