Rais Samia amelitikisa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani

Rais Samia amelitikisa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani

Don Moen

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2020
Posts
1,636
Reaction score
3,142
Rais Samia kuna wakati anafanya kazi kama simba mwenda pole, hana makeke wala mikwara lakini kuna wakati anakwarua kweli kweli.

Alianza kwa kumwagiza Kinana kuwa awaambie tafiki wapungue barabarani.

...................

Hivi karibuni tumlisikia mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Wambura akisema analifumua jeshi la polisi kitengo cha leseni.

Kwa habari za uhakika ni kuwa hii ni amri toka kwa mkuu wa nchi.

Hadi sasa wakuu wa vitengo kadhaa wanefukuzwa kazi mmojawapo akiwa ni kigogo wa polisi Mkoani Manyara.

Wengine waliokumbwa na kadhia hii ni askari waliojineemesha kupitia utoaji leseni na kuota vitambi, hawa wametolewa na kupelekwa FFU wakipisha uchunguzi wa madudu haya.

Wakati hili likiendelea kuna Kigogo mmoja aitwaye Ibra aliyekuwa mkaguzi mkuu pale Ubungi standi na baadae stendi ya Magufuli, anahemea juu juu kwani yeye ndiye aliyekuwa mkusanyaji wa pesa zote toka kwa kitengo cha leseni nchi nzina naye ndiye aliyekuwa ajisambaza mzigo kwa vigogo wa polisi kitaifa.

Mbali na hawa wa leseni pia tafiki polisi nao hawana hamu kwani hawajui hatima yao kwani imeundwa tume kuwachunguza nchi nzima.

Hata dereva akijaribu kuwapa chai kama wao wanavyoita hawapokei kwa kuogopa kamera kuwanasa.

Endapo safisha safisha hii itafanikiwa itapunguza ajali hasa kwa leseni zile za kuuziwa bila mafunzo na kuongeza ufanisi kwa trafiki polisi barabarani.

Mwisho..

Poleni vishoka mliokuwa mkila na askari polisi.
 
Wengine waliokumbwa na kadhia hii ni askari waliojineemesha kupitia utoaji leseni na kuota vitambi, hawa wametolewa na kupelekwa FFU wakipisha uchunguzi wa madudu haya.
MWOVU NI MWOVU, HUKO NDIKO HAWATAFANYA MAOVU?
 
Rais Samia kuna wakati anafanya kazi kama simba mwenda pole, hana makeke wala mikwara lakini kuna wakati anakwarua kweli kweli.

Alianza kwa kumwagiza Kinana kuwa awaambie tafiki wapungue barabarani...
...................

Hivi karibuni tumlisikia mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Wambura akisema analifumua jeshi la polisi kitengo cha leseni.

Kwa habari za uhakika ni kuwa hii ni amri toka kwa mkuu wa nchi.

Hadi sasa wakuu wa vitengo kadhaa wanefukuzwa kazi mmojawapo akiwa ni kigogo wa polisi Mkoani Manyara.

Wengine waliokumbwa na kadhia hii ni askari waliojineemesha kupitia utoaji leseni na kuota vitambi, hawa wametolewa na kupelekwa FFU wakipisha uchunguzi wa madudu haya.

Wakati hili likiendelea kuna Kigogo mmoja aitwaye Ibra aliyekuwa mkaguzi mkuu pale Ubungi standi na baadae stendi ya Magufuli, anahemea juu juu kwani yeye ndiye aliyekuwa mkusanyaji wa pesa zote toka kwa kitengo cha leseni nchi nzina naye ndiye aliyekuwa ajisambaza mzigo kwa vigogo wa polisi kitaifa.

Mbali na hawa wa leseni pia tafiki polisi nao hawana hamu kwani hawajui hatima yao kwani imeundwa tume kuwachunguza nchi nzima.

Hata dereva akijaribu kuwapa chai kama wao wanavyoita hawapokei kwa kuogopa kamera kuwanasa.

Endapo safisha safisha hii itafanikiwa itapunguza ajali hasa kwa leseni zile za kuuziwa bila mafunzo na kuongeza ufanisi kwa trafiki polisi barabarani.

Mwisho...
Poleni vishoka mliokuwa mkila na askari polisi.
watumshi wa nchi hii hasa polisi mfano kama mtu kafanya kazi hiyo zaidi miaka 10 tayali kaisha jenge benki kuna zaidi ya m100 hata wakafukuzwa kazi sawa
 
Rais Samia kuna wakati anafanya kazi kama simba mwenda pole, hana makeke wala mikwara lakini kuna wakati anakwarua kweli kweli.

Alianza kwa kumwagiza Kinana kuwa awaambie tafiki wapungue barabarani.

...................

Hivi karibuni tumlisikia mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Wambura akisema analifumua jeshi la polisi kitengo cha leseni.

Kwa habari za uhakika ni kuwa hii ni amri toka kwa mkuu wa nchi.

Hadi sasa wakuu wa vitengo kadhaa wanefukuzwa kazi mmojawapo akiwa ni kigogo wa polisi Mkoani Manyara.

Wengine waliokumbwa na kadhia hii ni askari waliojineemesha kupitia utoaji leseni na kuota vitambi, hawa wametolewa na kupelekwa FFU wakipisha uchunguzi wa madudu haya.

Wakati hili likiendelea kuna Kigogo mmoja aitwaye Ibra aliyekuwa mkaguzi mkuu pale Ubungi standi na baadae stendi ya Magufuli, anahemea juu juu kwani yeye ndiye aliyekuwa mkusanyaji wa pesa zote toka kwa kitengo cha leseni nchi nzina naye ndiye aliyekuwa ajisambaza mzigo kwa vigogo wa polisi kitaifa.

Mbali na hawa wa leseni pia tafiki polisi nao hawana hamu kwani hawajui hatima yao kwani imeundwa tume kuwachunguza nchi nzima.

Hata dereva akijaribu kuwapa chai kama wao wanavyoita hawapokei kwa kuogopa kamera kuwanasa.

Endapo safisha safisha hii itafanikiwa itapunguza ajali hasa kwa leseni zile za kuuziwa bila mafunzo na kuongeza ufanisi kwa trafiki polisi barabarani.

Mwisho..

Poleni vishoka mliokuwa mkila na askari polisi.
polisi hawezi koma kuomba na kupokea rushwa mpaka hapo watakopo anza kuwafunga na kuwanyanganya mali walizo iba vinginevio hiyo ni nguvu ya soda tu
 
Njia pekee ya kuepukana na madudu ya polisi ni kuwafuta kabisa au kufuta kitengo.
Hicho alichofanya ni cross ya kutafutia mwanya wengine waendelee kufanya yakiyokuwa yakifanyika.

Traffic ni kero lakini zisizo za msingi kwa taifa hili,kama imeonekana kwa uzito zaidi tofauti na uhalisia basi ni jeshi zima lifumuliwe kama wengine wanavyoshauri.
Unaweka watu wawachunguze na hao watu wanachunguzwa na nani??wana usafi kiasi gani cha kuchunguza wengine??

Kitengo cha ukaguzi wa reseni kimefutwa,sababu
Ajali ni nyingi au kuna mtu kagoma kuwasilisha nanii???
Samaleku[emoji38]
 
Hapa ndio huwa sielewi watumishi wanajihusisha kwenye rushwa, upotevu wa pesa ila bado wanaendelea kubakia kwenye uongozi au ofisini kufanya majukumu mengine.

Wizo hautokoma
 
Back
Top Bottom