Rais Samia ameupiga mwingi kuachiwa huru Mbowe

Rais Samia ameupiga mwingi kuachiwa huru Mbowe

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Chuki huzaa chuki, heri huzaa heri na kicheko huzaa kicheko.

Kwenye sakata hili la Mbowe kuachiwa huru wa kushukuriwa hapa ni Rais Samia full stop.

Kama Rais JPM angekuwa bado Yuko kwenye kiti jambo hili la kuachiwa Mbowe kwa namna hii lisingewezekana.

Ndugu zangu Tanzania imepata kiongozi ambae alikuja kwa upepo wa kisulisuli kutoka kusikojulikana tufunge na kuomba awepo hadi 2030, Tanzania itakwenda kupona maradhi yake yote, kama Yale demokrasia, tume huru, Katiba, kuondoa vikwazo vyote kati ya Bara na Zanzibar. Bara na Zanzibar wataaminiana kwelikweli kuliko ilivyowahi kuwa huko nyuma.

Kiuchumi tutapiga hatua kubwa sana mpaka tutashindwa kuyaamini macho, masikio na pua zetu.
 
Gaidi linaitwa Mheshimiwa🐒🐒🐒
 
Ndo faida ya kuwa na rais mwenye exposure
Sio yule MSHAMBA wa kisukuma aliyekataa kusafiri kwa ushamba wake
 
Chuki huzaa chuki, heri huzaa heri na kicheko huzaa kicheko.

Kwenye sakata hili la Mbowe kuachiwa huru wa kushukuriwa hapa ni Rais Samia full stop.

Kama Rais JPM angekuwa bado Yuko kwenye kiti jambo hili la kuachiwa Mbowe kwa namna hii lisingewezekana.

Ndugu zangu Tanzania imepata kiongozi ambae alikuja kwa upepo wa kisulisuli kutoka kusikojulikana tufunge na kuomba awepo hadi 2030, Tanzania itakwenda kupona maradhi yake yote, kama Yale demokrasia, tume huru, Katiba, kuondoa vikwazo vyote kati ya Bara na Zanzibar. Bara na Zanzibar wataaminiana kwelikweli kuliko ilivyowahi kuwa huko nyuma.

Kiuchumi tutapiga hatua kubwa sana mpaka tutashindwa kuyaamini macho, masikio na pua zetu.
Pole,mabeberu wanakopesha ukiwa na utawala bora na demokrasia,kila anakopita kukopa anaambuwa hakuna democracy Tz, kaishiwa pumzi.

Aliiamunisha dunia kupitia BBC wenzie mbiwe washahukumiwa,vipi leo serikalu haina nia ya kuendelea na kesi?
 
Pole,mabeberu wanakopesha ukiwa na utawala bora na demokrasia,kila anakopita kukopa anaambuwa hakuna democracy Tz, kaishiwa pumzi.

Aliiamunisha dunia kupitia BBC wenzie mbiwe washahukumiwa,vipi leo serikalu haina nia ya kuendelea na kesi?
Sio kweli mama hii kesi aliikuta, sio yake, hakufanyiwa yeye. Mama amerekebisha mambo mengi sana ya JPM, sio ajabu hata hili la JPM kulibafilisha pia kama hivi. Sasa hivi tumeshajuwa kuwa ukanda fulani haufai kutoa viongozi kwenye taifa hili, ni wapenda sifa binafsi bila kujali maisha ya watanzania. Vita ya Uganda, msumbiji, Angola, Namibia, Zimbabwe, Comoro, South Africa zimekula maisha ya watanzania kuliko ilivyostahili bila sababu za maana. Vita zile Zimekula na kunywa maji, chakula, shule, hospitali, nguzo za umeme na barabara za watanzania. Tunapigana wakati watu wetu wanakosa hata maji safi ya kunywa.

Ona jamaa mwingine kutoka hukohuko akaona kwenda Dodoma na chato na reli ya kisasa ni Bora sana kuliko kusambaza maji na madawati kwa watu wetu. Vijana walinyimwa mikopo ya elimu ilimradi kidume kiweke historia ya kuhamia Dodoma.

Ni nakwambia Hangaya amefanya hayo kwa moyo wake TU sio shinikizo, alipewa hela za Uviko Mbowe akiwa ndani.
 
Ndo faida ya kuwa na rais mwenye exposure
Sio yule MSHAMBA wa kisukuma aliyekataa kusafiri kwa ushamba wake
Hivi mbowe alikamatwa na Magufuli?

Hii inchi ina watu wa hovyo sn.
Jiulize alikamatwa na nani?
Na aliachiwa na Nani?
 
Sio kweli mama hii kesi aliikuta, sio yake, hakufanyiwa yeye. Mama amerekebisha mambo mengi sana ya JPM, sio ajabu hata hili la JPM kulibafilisha pia kama hivi. Sasa hivi tumeshajuwa kuwa ukanda fulani haufai kutoa viongozi kwenye taifa hili, ni wapenda sifa binafsi bila kujali maisha ya watanzania. Vita ya Uganda, msumbiji, Angola, Namibia, Zimbabwe, Comoro, South Africa zimekula maisha ya watanzania kuliko ilivyostahili bila sababu za maana. Vita zile Zimekula na kunywa maji, chakula, shule, hospitali, nguzo za umeme na barabara za watanzania. Tunapigana wakati watu wetu wanakosa hata maji safi ya kunywa.

Ona jamaa mwingine kutoka hukohuko akaona kwenda Dodoma na chato na reli ya kisasa ni Bora sana kuliko kusambaza maji na madawati kwa watu wetu. Vijana walinyimwa mikopo ya elimu ilimradi kidume kiweke historia ya kuhamia Dodoma.

Ni nakwambia Hangaya amefanya hayo kwa moyo wake TU sio shinikizo, alipewa hela za Uviko Mbowe akiwa ndani.

Mbowe alikamatwa na nani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom