Rais Samia ana mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa TANROADS

Rais Samia ana mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa TANROADS

Matojo Cosatta

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2017
Posts
234
Reaction score
390
RAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.

Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.

Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 yaani the Executive Agencies (Amendment) Act, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeke kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.

Masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 kinaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizara yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;


"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]


Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kama yalivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun & Another Vs Attorney General & Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).

Hivyo basi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null et void ab initio) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.

Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
 
RAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.

Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.

Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya Kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeka kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.

Masharti ya Kifungu cha 9 cha Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 inaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizra yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;


"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]


Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ama ilivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun and Another v. Attorney General and Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).

Hivyobasi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null and void ab initia) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.

Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
Asante mkuu- hawezekana pia hiyo sheria imeshafanyiwa mabadiriko pia?
 
RAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.

Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.

Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya Kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeka kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.

Masharti ya Kifungu cha 9 cha Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 inaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizra yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;


"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]


Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ama ilivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun and Another v. Attorney General and Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).

Hivyobasi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null and void ab initia) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.

Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
Hii KATIBA ya mwaka 1977 hii? Hata CCM tumeichoka
 
Asante mkuu- hivi si kweli kuwa hiyo sheria imeshafanyiwa mabaddiriko pia?
Itakuwa ilifanyiwa mabadiliko maana yule Mungu mtu asingekubali waziri ateuwe mkurugenzi badala ya yeye,moyo huo hakuwa nao kabisa.
 
Hakuna Cha simple logic mkuu,katiba ya mwaka 1977 ni nyoka wa vichwa viwili.
 
Mtanzania pekee anayeweza kuisoma na kuielewa bila utekelezaji katiba ya mwaka 1977 ni Prof Kabudi.
 
Yaani waziri awe na mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu halafu rais asiwe nayo? hoja nyingine ni za kupotezeana muda....kwani huyo waziri kateuliwa na nani? au amejiteua......
 
Unaonaje tutumie katiba ya nchi tu tuachane na sheria zilizotungwa na bunge?
 
Joe Biden Rais wa Marekani anayo mamlaka ya kuteua wajumbe wa bodi ya posta ila hana uwezo wa kumteua au kutengua uteuzi wa Postmaster General bila idhini ya Bodi au Bunge la seneti.
Yaani waziri awe na mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu halafu rais asiwe nayo? hoja nyingine ni za kupotezeana muda....kwani huyo waziri kateuliwa na nani? au amejiteua......
 
RAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.

Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.

Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya Kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeka kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.

Masharti ya Kifungu cha 9 cha Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 inaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizra yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;


"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]


Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ama ilivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun and Another v. Attorney General and Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).

Hivyobasi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null and void ab initia) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.

Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
Shukrani mkuu kwa ufafanuzi hata Mimi niliuona huo Uzi, umetusaidia wengine tusioijua Sheria, Lai yangu kwa wengine kama Kuna kitu kimepotoshwa hapa jukwaani musisite kutoa ufafanuzi.
 
Mbona mwendazake alimteua mwendazake mwenzake hamkusema. Hakika Mh. Samia Suluhu Hassan mnamkoa. Mjue ndiye Rais na hakuna mwingine na ndiyo wetu huyo kipenzi.
 
Mbona mwendazake alimteua mwendazake mwenzake hamkusema. Hakika Mh. Samia Suluhu Hassan mnamkoa. Mjue ndiye Rais na hakuna mwingine na ndiyo wetu huyo kipenzi
 
Yaani waziri awe na mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu halafu rais asiwe nayo? hoja nyingine ni za kupotezeana muda....kwani huyo waziri kateuliwa na nani? au amejiteua......

..Raisi pia hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Ewura.
 
Mwen
RAIS SAMIA ANA MAMLAKA YA KUMTEUA MTENDAJI MKUU WA TANROADS.

Ndugu Mpinzire katika uzi wake hapa jamiiforums amejenga hoja nzito kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanroads na uzi huu una kichwa cha habari kifuatacho: "Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais.". Kwa heshima na taadhima, ninaomba kutofautiana na Ndugu Mpinzire.

Ni kweli kabisa kuwa mamlaka ya Kumteua Mtendaji Mkuu wa Tanaroads (CEO) yapo mikononi mwa Waziri wa Ujenzi kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 245 (Sheria No. 30 ya 1997) kama kilivyofanyiwa mabadiliko na Kifungu cha 7 cha Sheria ya Mabadiliko ya Wakala wa Serikali, 2009 (Sheria Na. 13 ya 2009) kama alivyojenga hoja Ndugu Mpinzire. Hatahivyo, ni muhimu kujua kuwa sheria za nchi ambazo zimetungwa na Bunge lazima zisomeka kwa pamoja (read in tandem) na Katiba ya nchi.

Masharti ya Kifungu cha 9 cha Wakala wa Serikali, Sura ya 245 ( the Executive Agencies Act, Cap. 245) yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Wakati Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa serikali, Sura ya 254 inaelekeza kuwa Mtendaji Mkuu wa Tanroads atateuliwa na Waziri ambaye taasisi au idara husika hiko chini ya Wizra yake huku Ibara ya 36 (2) ya Katiba inaelekeza kuwa mamlaka ya kuteua Watendaji Wakuu wa Idara na taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yako mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 yamenukuliwa neno kwa neno hapa chini kama ifuatavyo;


"36 (2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushika nafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera za idara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibika kusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazo zimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbali zilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuzi unaofanywa na Rais." [Msisitizo ni wangu]


Ni Kunga (principle) ya Sheria bayana (it is a settled principle of law) kwamba iwapo sheria iliyotungwa na Bunge yaani Sheria Kuu (principal legislation) inakinzana na Katiba basi sheria iliyotungwa na bunge itakuwa batili tangia mwanzo (null et void ab initio) kwa kiwango ambacho inakinzana na katiba ya nchi, hii ni kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 64 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ama ilivyotafsiriwa na Mahakama ya Rufaa katika kesi ya Kukutia Ole Pumbun and Another v. Attorney General and Another [1993] TLR 159 , baina ya nyingine (among others).

Hivyobasi, masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo ( null and void ab initia) kwa kuwa yanakinzana na masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. Kwa kuwa masharti ya Kifungu cha 9 cha Sheria ya Wakala wa Serikali, Sura ya 254 ni batili tangia mwanzo basi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana mamlaka ya kuwateua Watendaji Wakuu wa Idara na Taasisi za Serikali katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwemo Mtendaji Mkuu wa Tanroads chini ya masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.

Hivyobasi, maoni ya Ndugu Mpinzire sio sahihi kwa kuwa yameshindwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 36 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977. The provisions of laws enacted by Parliament (principal legislation) should not be read in partial or total isolation of the provisions of the Constitution of United Republic of Tanzania in lieu thereof the laws enacted by Parliament should be read in tandem with the Constitution.

Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
Mwenye jurisdiction ya kutangaza sheria fulani batili ni MAHAKAMA,siyo wewe
 
Back
Top Bottom