Rais Samia anaweza kuanzisha mkoa mpya wa Chato endapo haya yatazingatiwa…

Hongera sana mtoa mada kwa andiko lililo sheheni madini na uchambuzi mpana. Ningekuwa mwalimu wako wa Public Administration, hakika ningekupa 98/💯 sawa na A+.


Hoja za kuanzisha mkowa Chato ni za kipumbafu sana hizi, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.

Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge, bado wanataka watushawishi TUBARIKI MAKOSA yake kwa kuipa Chato hadhi ya Mkoa?? They are not serious.

Mungu ametuepushia hiyo DHAHMA kwa kuchukua roho ya mtu mwongo, mwizi na katili na mbinafsi ili tujipange vizuri, kama tutaupa Chato hadhi ya mkoa itakuwa ni KUFURU kwa Mungu wetu.

Ile Chato ni ya kubaki hivyo hivyo kama ilivyobaki GBADOLITE ya Mobutu, ili vizazi vijavyo vije vitambue kuwa tuliwahi tawaliwa na mtu KICHAA kwa miaka 5 na siku 131.
 
Mama Amon,
Unajitaidi sana lakini nafikiri ungefupisha zaidi andiko lako, hakuna mtu mwenye muda was kusoma ‘kitabu’!
 
Jamaa yuko sawa na ameeleza maelezo ya kitalaam. Kwa kifupi sioni haja ya kuanzisha Mkoa wa Chato yale yalikuwa mawazo ya ubinafsi ya huyo mtu aliyetaka kuanzisha Wilaya ya Chato. Hata Wilaya za Katoro na Kisesa ni uharibifu mkubwa wa rasilmali za Serikali.
 
Tanzania bado karne hii watu wanabishana kuanzisha mkoa

Ova
 
Kwa hiyo kuwepo Wanyonge ndiyo uhalali wa kuwepo Serikali!!!!!

Haswa! Hoja inayoanzia kwenye ibara ya 9(i) iko hivi:

The family is demanded by the natural law. But the state is a natural outgrowth of the family, and becomes necessary for human living when a number of families realize the need of cooperation for their common good. Therefore in these circumstances the state is demanded by the natural law, and is therefore a natural society. This argument can be expressed under the following points:


  1. The most elementary form of society is the family. The family is here taken in the broader sense to mean all blood relatives living together and any servants or others adopted into the household. It can provide for its own welfare in mere daily wants, but it cannot provide for a broader human life. The arts and appliances of civilization could never be developed within one family; for these there is needed the cooperation of many minds and many hands through accumulated generations.
  2. As the family grows, the end it can attain also grows. The children reach maturity and found new families, usually nearby. In several generations a group of families all interrelated live close to one another. Division of labor comes in; people begin to specialize in different kinds of work and to exchange their products.
  3. The interrelated group has become a clan or tribe. A clan is a smaller group with a tradition of descent from a common ancestor. A tribe is a larger group and may be an amalgamation of several clans; at least the blood relationship is not so clear. Some tribes never get beyond the tribal condition, either because of nomadic habits, or because they are wholly occupied in war, or because they show no ingenuity in developing the earth's resources. To form a state a peaceful industrious settlement is necessary: a central village where the people trade.
  4. The village community can supply more of its wants than a single family, but it is not yet self-sufficing. Military organization against enemies from without, economic organization against famine and want, legal organization for settling internal disputes, are still wanting. These things are handled rather arbitrarily by the tribal chief with his council of elders. This chief may be the patriarch or founder of the whole family, or his eldest son, or one of his descendants appointed by him, or one elected by the tribe to be their leader, or one who simply assumes leadership and keeps it by his ability.
  5. From the village community or an aggregate of such villages the state is formed. One village composed of people all descended from the same common ancestor may expand to such a size in such a favorable location, that it is now able to take care of all its needs and has become self-sufficing. More probably several such villages would aggregate together, organize for common defense, mutual trade, and a common legal system. As soon as these things have been determined upon and an authority has been established to enforce them, the state has come into existence.
 
Yani na ukubwa wa Teknolojia bado tunawaza kuongeza watawala ili kutawaliana!?
Nazani tunawaza kinyume, kwa sasa tunatakiwa kupunguza idadi ya watawala na kuongeza viwanda, masoko, shule, nk
 
Unajua lakini kuanzia Mzee RUKHSA hadi dhalimu magufuli ufisadi na wizi wa miaka 36 uliofanywa na hao watu na subordinates wao wa trillions za walipa kodi na hakuna hata mmoja aliyepandishwa kizimbani hivyo wakiendelea kuwa mamilionea na mabilionea huku hao wanyonge wanaojidai kuwatetea wakiishi maisha yaliyojaa ufukara wa kutisha ikiwemo elimu ya hovyo, huduma za afya za hovyo, ajira hakuna, hawana mitaji ya kuanzisha biashara za maana etc hivyo circle ya umaskini wa kutisha kuendelea miaka hadi miaka.
Fungua macho yako uone hali halisi ya nchi yetu na kuelewa hizi sera za KIPUUZI kurudiwa miaka nenda miaka rudi huku kukiwa hakuna TATHMINI yoyote kama sera hizo zina tija yoyote kwa nchi.
Nasubiri TATHMINI kuhusu sera hizo za KIPUUZI kuonyesha mafanikio yake.

 
Siku Magufuli akifufuka anzisheni mkoa wa Chato!
 
Mama Amon,
Unajitaidi sana lakini nafikiri ungefupisha zaidi andiko lako, hakuna mtu mwenye muda was kusoma ‘kitabu’!
Mama Amon umewakomesha vichwa panzi maana umeandika kitaalamu. Kwa mtu professional umavutiwa kusoma mpaka ujue mwishoni conclusion itakuwaje.

Pole santesandy,. hii ndiyo JF nyumbani kwa great thinkers
 
Wingi wa viongozi sii utendaji.
 
Mama Amon umewakomesha vichwa panzi maana umeandika kitaalamu. Kwa mtu professional umavutiwa kusoma mpaka ujue mwishoni conclusion itakuwaje.

Pole santesandy,. hii ndiyo JF nyumbani kwa great thinkers
Yeah, mimi sikatai! Ila kama unaweza kuwafikia hata hao vichwa panzi, Kwanini usisamarize ukawafikia?! Kumbuka umeme ule ule wa grid ya taifa unaweza ‘kuu-summarize’ ukachajia simu!
 
Kwa hiyo serikali ya ccm hamuwezi kuwapelekea maendeleo wananchi mpaka muwagawe kimaeneo?!
This is utter nonsense!kama mmeishiwa hivi hebu tuachieni nchi yetu tutafute viongozi wenye kuwaza kidijitali zaidi.
Kama mnatafuta majimbo mapya ya kiuchaguzi si mseme tu!
Mtaigawanyagawanya nchi hadi lini?!mimi nashauri kuanzia mshahara wa rais hadi wabunge ikatwe kodi na mambo yote kama sisi wa chini huku ili huu mzigo wa kodi tubebe wote,mtaacha kuongea mambo ya ajabu ajabu!
...na huko chato hiviiii..mna tunguli yenuu au?!mimi suala la chato(na maeneo ya jirani yake) kupewa mamlaka ya kimkoa silipendi sababu ya uwingi wa warundi na wanyarwanda kule.kwa mantiki za kitamaduni na kiusalama acha chato ibaki Geita..na hata hiyo Geita ingebaki Mwanza tu.Tungerudisha mikoa 25 tu.
Warundi na wanyarwanda ni watu wa kuwa nao makini.Wasipewe nafasi ya kufika ikulu.anayeijua vizuri Afrika ya kati atanielewa.
 
Mama Amon,
Unajitaidi sana lakini nafikiri ungefupisha zaidi andiko lako, hakuna mtu mwenye muda was kusoma ‘kitabu’!
Mh! Msomaji wa kawaida anasoma maneno 200kwa dakika. Hata hivyo Watu wengi si wa somaji wazuri, kasi yao ni ndogo
 
Mh! Msomaji wa kawaida anasoma maneno 200kwa dakika. Hata hivyo Watu wengi si wa somaji wazuri, kasi yao ni ndogo
Na watu Wengine, wengi, siyo wasomaji! Unahitaji uwe na ushawishi mkubwa kumfanya Mtu asome bandiko refu!! Anyway, Mama Amon, amefanya kazi nzuri sana!
 
Mh! Msomaji wa kawaida anasoma maneno 200kwa dakika. Hata hivyo Watu wengi si wa somaji wazuri, kasi yao ni ndogo

Msomaji wa kawaida anayesoma maneno 200 ni yupi huyo?
Uandishi una kanuni zake.
Kubwa ni sita:

  • Audience Analysis
  • Purpose Analysis
  • Content Analysis
  • Organization Analysis
  • Style/Tone Analysis
  • Approach analysis
Baada ya kuziangalizi kanuni hizi ndio urefu wa andiko huamuliwa.
Na urefu wa andiko unamaanisha kuwabagua baadhi ya watu katika hadhira kwa makusudi.
Nimezingatia yote haya.
 
Tatizo la wasomi wengi, hamuwezi kushuka ngazi mje kwenye maisha ya kawaida, Hiyo ni kufeli kuitafsiri elimu iguse watu wa kawaida! Mtu wa kawaida akiangalia tu urefu wa bandiko, anapita!
Hata hao magreat thinkers, anapitia juu juu tu! Nafikiri bado inawezekana kufanya short analysis kwa kupigilia point! Lakini nakubali kwamba Una point ya muhimu!
 
Ma Great thinker wamemuelewa mama amon Ila wale wa la 7 lazima wapate shida
 
Ma Great thinker wamemuelewa mama D Ila wale wa la 7 lazima wapate shida
Mkuu unamuelewa Mama Amon, huku ukimuwaza Mama D!? Kwa taarifa yako mama Amon ni ☝️ of Covid-19, mama d ni CCM vitu maalumu, watu wawili tofauti!
Pia challenge yangu kwa Mama Amon, natamani awafikie na hao wa la 7 ambao ndo majority Tiizii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…